JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 12
Wimbo 108
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 13 fu. 16-26, kisanduku kwenye uku. 156
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 1-5
Na. 1: Yoshua 5:1-15
Na. 2: Rafiki Zetu Wanapaswa Kuwa Watu Wanaompenda Mungu (lr sura 44)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Ni Nini? Na Tunaonyeshaje Kwamba Tunautaka (lr sura 45)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 64
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mipango Inayotusaidia Tuhubiri Eneo kwa Utaratibu. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yatakayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 102-104, mafungu sita yaliyo chini ya kichwa kidogo “Eneo.” Uliza mwangalizi wa utumishi maulizo kuhusu mipango iliyofanywa ili kuhubiri eneo la kutaniko lenu.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Fahamu Maoni ya Anayeuliza Ulizo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yatakayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 66-68.
Wimbo 137