Programu ya Juma Tokea Tarehe 18 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 18 MWEZI WA 1
Wimbo 70 (210)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 15 fu. 18-23, kisanduku kwenye uku. 180
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 1-4
Na. 1: Waamuzi 2:11-23
Na. 2: Ni Watu Gani Wanaoenda Kuzimu? (rs uku. 155 fu. 1-3)
Na. 3: Mungu Hakumwumba Ibilisi
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 115 (40)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tujitayarishe Kutolea Watu Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Zungumzia kwa kifupi habari zilizo katika magazeti munayotolea watu, na onyesha ni habari gani zinazoweza kupendeza zaidi watu katika eneo lenu. Mufanye pia onyesho kuhusu jinsi mhubiri kijana anavyojitayarisha ili kutolea watu magazeti.
Dak. 15: Kisanduku cha Maulizo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Musome na kuzungumzia maandiko yanayoonyeshwa katika habari.
Wimbo 125 (8)