Programu ya Juma Tokea Tarehe 25 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 25 MWEZI WA 1
Wimbo 27 (143)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 16 fu. 1-8
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 5-7
Na. 1: Waamuzi 7:1-11
Na. 2: Namna Gani Tunaweza Kumtambua “Yule Kahaba Mkubwa” Anayezungumziwa Kwenye Ufunuo 17:1?
Na. 3: Je, Mutu Yeyote Anaweza Kutoka Katika Kuzimu? (rs uku. 155 fu. 4–uku. 156 fu. 2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 111 (102)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Pili. Zungumzia kwa kifupi sehemu zenye mafaa za kitabu cha kutolea watu mwezi huu. Mufanye pia onyesho kuhusu jinsi mhubiri anavyoweza kutumia kitabu cha kutolea watu mwezi huu ili kuanzisha funzo la Biblia hata ikiwa hakupanga kuhubiri.
Dak. 20: “Je, Umekawia?” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Sehemu hiyo itatolewa na mzee. Mufanye pia onyesho moja; katika onyesho hilo mhubiri anafasiria kusudi la kadi DPA na anaomba itiwe katika faili (dossier) yake. Mganga anakubali kwamba atafanya hivyo. Kwa kumalizia musome fungu la mwisho.
Wimbo 29 (160)