Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 5
Wimbo 114 (180)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 5 fu. 9-15
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 16-18
Na. 1: 2 Samweli 17:1-13
Na. 2: Kwa Nini Yesu Anaitwa “Bwana wa Sabato” (Mt. 12:8)
Na 3: Je, “Watakatifu” Wanaweza Kutuombea kwa Mungu? (rs uku. 262 fu. 2-6)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 35 (81)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: “Je, Umekwisha Kumwonyesha Mutu Namna Tunavyojifunza na Watu Biblia Unapomhubiria kwa Mara ya Kwanza?” Hotuba. Kisha kuzungumzia pendekezo lililo katika habari, mufanye onyesho kuhusu pendekezo hilo.
Dak. 20: “Jinsi ya Kuwazoeza Wapya Kuhubiri.” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Kisha kuzungumzia fungu la 5, mufanye onyesho ambamo mzee anahubiri pamoja na mhubiri mpya. Mhubiri mpya anamhubiria mutu lakini hasome andiko. Wakiisha kuondoka, mzee anamtolea mhubiri mpya pendekezo bila kumkwaza na anamtia moyo kutumia Biblia anapomhubiria mutu.
Wimbo 22 (77)