Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 5/10 uku. 6
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 Mwezi wa 5

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 Mwezi wa 5
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 5
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 5/10 uku. 6

Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 Mwezi wa 5

JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 5

Wimbo 114 (180)

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cf sura 5 fu. 9-15

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 16-18

Na. 1: 2 Samweli 17:1-13

Na. 2: Kwa Nini Yesu Anaitwa “Bwana wa Sabato” (Mt. 12:8)

Na 3: Je, “Watakatifu” Wanaweza Kutuombea kwa Mungu? (rs uku. 262 fu. 2-6)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 35 (81)

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: “Je, Umekwisha Kumwonyesha Mutu Namna Tunavyojifunza na Watu Biblia Unapomhubiria kwa Mara ya Kwanza?” Hotuba. Kisha kuzungumzia pendekezo lililo katika habari, mufanye onyesho kuhusu pendekezo hilo.

Dak. 20: “Jinsi ya Kuwazoeza Wapya Kuhubiri.” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Kisha kuzungumzia fungu la 5, mufanye onyesho ambamo mzee anahubiri pamoja na mhubiri mpya. Mhubiri mpya anamhubiria mutu lakini hasome andiko. Wakiisha kuondoka, mzee anamtolea mhubiri mpya pendekezo bila kumkwaza na anamtia moyo kutumia Biblia anapomhubiria mutu.

Wimbo 22 (77)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine