Programu ya Juma Tokea Tarehe 8 mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 8 MWEZI WA 11
Wimbo 18
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 13 fu. 1-8
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 21-25
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 22:11-19
Na. 2: Jinsi Gani Tunaweza Kuendelea Kukomalisha Upendo Wetu Kuhusu Kweli?
Na. 3: Namna Gani Mashahidi wa Yehova Wanafikia Kuifasiria Biblia? (rs uku. 193 fu. 1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 113
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tutafute Nafasi za Kutolea Wengine Ushahidi. (Mdo. 16:13) Mazungumzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka 2010, ukurasa wa 43, fungu la 1-2; ukurasa wa 59, fungu la 2; na ukurasa wa 62, fungu la 2, mpaka ukurasa wa 63, fungu la 1. Kisha kuzungumzia kila jambo lililoonwa, omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo ambayo wanajifunza kutokana na jambo hilo.
Dak. 15: “Mashamba Ni Meupe kwa Ajili ya Kuvunwa.” Maulizo na majibu.
Wimbo 44