Programu ya Juma Tokea Tarehe 22 mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 22 MWEZI WA 11
Wimbo 6
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 13 fu. 18-21, kisanduku kwenye uku. 138
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 1-5
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 3:1-13
Na. 2: Ni kwa Msingi Gani Yehova Alisamehe Zambi ambazo Watu Walifanya Mbele ya Nyakati za Ukristo? (Rom. 3:24, 25)
Na. 3: Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba? (rs uku. 194 fu. 2–uku. 195 fu. 1)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 103
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Vichapo vya Kutoleo Watu Katika Mwezi wa 12. Mazungumzo. Zungumzia habari fulani zilizo katika vichapo tutakavyotolea watu mwezi huo na mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Dak. 20: “Je, Unaweza Kujikaza Kufahamiana na Mwenzi wa Dada ao wa Ndugu Asiye Shahidi?” Maulizo na majibu. Uliza maulizo mhubiri aliyekuwa mwenzi asiye Shahidi. Namna gani kutaniko lilimsaidia apendezwe na kweli?
Wimbo 107