Programu ya Juma Tokea Tarehe 27 mwezi wa 12
JUMA TOKEA TAREHE 27 MWEZI WA 12
Wimbo 122
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 15 fu. 8-16
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 25-28
Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 131
Dak. 5: Matangazo. “Kalenda ya 2011 Inakazia Ibada ya Familia.” Hotuba.
Dak. 10: Kupanga Mambo Akilini Kunaweza Kutusaidia Katika Mahubiri. Mazungumzo yatakayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 167 mpaka ukurasa wa 168, fungu la 1. Ukitumia toleo la mwezi wa kwanza, tia ndani sehemu ya mutu mwenye kujisemesha. Mhubiri anatumia dakika chache akitayarisha akilini namna atakavyohubiria mutu mbele aende kwenye mahubiri.
Dak. 10: Kichwa Chenye Mvi Ni Taji la Uzuri. (Met. 16:31) Mazungumzo yatakayotegemea Kitabu cha Mwaka wa 2010, ukurasa wa 110, fungu la 1-3. Kisha kuzungumzia kila jambo lililoonwa, omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu somo ambalo wamejifunza.
Dak. 10: Tujitayarishe Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 1. Mazungumzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili zungumzia habari zilizo katika magazeti hayo. Kisha, chagua habari mbili ao tatu, na omba wasikilizaji wapendekeze maulizo na maandiko ambayo wanaweza kutumia wanapowatolea watu magazeti hayo. Fanyeni onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 90