Programu ya Juma Tokea Tarehe 4 mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 4 MWEZI WA 4
Wimbo 116 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 2 fu. 1-7, kisanduku kwenye uku. 13 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ayubu 16-20 (Dak. 10)
Na. 1: Ayubu 18:1-21 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Yesu Ana Mwili Wake wa Nyama Huko Mbinguni?—rs uku. 435 fu. 4–uku. 436 fu. 3 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Watawala Wanaofahamu Vizuri Mashahidi wa Yehova Wanawasifu?—Rom. 13:3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 34
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tumia Vizuri Kitabu cha Mwaka 2011. Mazungumzo. Soma “Barua Kutoka Baraza Linaloongoza.” Fanyeni mpango kimbele ili watu fulani waeleze mambo yaliyoonwa, waliyosoma katika Kitabu cha Mwaka, na ambayo yaliwatia moyo. (Tumia Kitabu cha Mwaka 2010 ikihitajiwa) Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo yenye kupendeza zaidi kuhusu ripoti ya ulimwenguni pote. Malizia kwa kutia wote moyo wamalize kusoma Kitabu cha Mwaka 2011 kitakapopatikana.
Dak. 15: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Wimbo 103 na Sala