Programu ya Juma Tokea Tarehe 5 Mwezi wa 12
JUMA TOKEA TAREHE 5 MWEZI WA 12
Wimbo 29 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 13 fu. 17-24 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 3:16–4:6 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Tunapaswa Kudumisha Mutazamo wa Uharaka? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kuna Yeyote Atakayekuwa Hai Duniani Baada ya Mwisho wa Mufumo wa Ulimwengu Huu?—rs uku. 290 fu. 3–uku. 291 fu. 3 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 111
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mutu Akikuuliza kwa Nini Hausherehekei Noeli (Krismasi). Mazungumuzo yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 275, fungu la 3 mupaka ukurasa wa 278, fungu la 4. Mufanye pia onyesho fupi.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Ujitayarishe kwa Ajili ya Mahubiri. Mazungumuzo yenye kutegemea maulizo yanayofuata. (1) Namna gani unajitayarisha ikiwa ni: (a) Mahubiri ya nyumba kwa nyumba? (b) kurudilia watu? (c) kuhubiri wakati haukupanga kufanya hivyo? (2) Kwa nini tunapaswa kujitayarisha kila mara mbele ya kuenda kuongoza funzo la Biblia? (3) Unafanya nini ili kumusaidia mutu unayejifunza naye Biblia atayarishe habari ambayo mutajifunza? (4) Namna gani kujitayarisha kunakusaidia ufurahie mahubiri zaidi? (5) Kwa nini Yehova anafurahi tunapojitayarisha kwa ajili ya mahubiri?
Wimbo 101 na Sala