Programu ya Juma Tokea Tarehe 2 Mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 2 MWEZI WA 4
Wimbo 8 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 18 fu. 19-24 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 17-21 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 21:1-10 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Njia ya Shetani ya Kutawala Imeonyesha Nini? (Dak. 5)
Na. 3: Ni Nini Kinachoweza Kufanya Maisha ya Ndoa Yawe Mazuri?—rs uku. 231 fu. 1-4 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 87
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia njia mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zinazoonyeshwa kwenye ukurasa huu, mufanye onyesho lenye kuonyesha namna funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 4.
Dak. 15: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Namna ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 4. Mazungumuzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, onyesha habari fulani zinazoweza kupendeza watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Mnara wa Mlinzi, omba wasikilizaji wapendekeze maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na kisha uwaombe wapendekeze maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye vivyo hivyo juu ya habari za kwanza za Amkeni! na, ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo juu ya habari nyingine moja ya Mnara wa Mlinzi ao ya Amkeni! Mufanye onyesho kuhusu namna ya kutolea watu kila gazeti.
Wimbo 99 na Sala