Programu ya Juma Tokea Tarehe 18 Mwezi wa 6
JUMA TOKEA TAREHE 18 MWEZI WA 6
Wimbo 61 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 22 fu. 7-14, visanduku kwenye uku. 174, 177 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Maombolezo 3-5 (Dak. 10)
Na. 1: Maombolezo 5:1-22 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Jinsi ya Kujibu Wale Wanaouliza, ‘Je, Munamuamini Bikira Maria?’—rs uku. 187 fu. 2-4 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Tunaamini Kwamba Biblia Iliongozwa na Roho ya Mungu?—2 Tim. 3:16 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 4
Dak. 10: Matangazo. Kisanduku cha Maulizo. Hotuba.
Dak. 10: Je, Unakumbuka? Mazungumuzo yanayotoka katika Munara wa Mulinzi wa tarehe 15 mwezi wa 4, 2012, ukurasa wa 32.
Dak. 15: Vitabu Vyetu Ni vya Lazima Sana. Mazungumuzo yanayotoka katika Kitabu cha Mwaka cha 2012, ukurasa wa 92, fungu 1; 113 na ukurasa 114. Omba wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza kutokana na habari hizo.
Wimbo 24 na Sala