Programu ya Juma Tokea Tarehe 8 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 8 MWEZI WA 10
Wimbo 75 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 27 fu. 19-26, visanduku kwenye uku. 212, 214, 217 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Danieli 7-9 (Dak. 10)
Na. 1: Danieli 7:13-22 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Biblia Inaonyesha Kwamba Wakristo wa Kweli Wangepangwa Kitengenezo?—rs uku. 299 fu. 2–uku. 300 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Yehova Ni Mushikamanifu Katika Njia Gani?—Ufu. 15:4; 16:5 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 133
Dak. 10: Mutu Akisema, ‘Nina Kazi Nyingi.’ Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 19, fungu la 4, mupaka ukurasa wa 20, fungu la 3. Muzungumuzie majibu fulani yanayopendekezwa na majibu mengine ambayo mumetumia katika eneo lenu na ambayo yamekuwa na matokeo mazuri. Mufanye maonyesho mawili mafupi.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Mathayo 21:12-16 na Luka 21:1-4. Muzungumuzie mambo tunayojifunza kutokana na habari hizo.
Dak. 10: “Je, Unaweza Kuhubiri Wakati wa Mangaribi?” Maulizo na majibu. Munapozungumuzia fungu la 2, omba wasikilizaji waeleze mambo waliyokutana nayo walipokuwa wakihubiri mangaribi.
Wimbo 92 na Sala