Programu ya Juma Tokea Tarehe 29 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 29 MWEZI WA 10
Wimbo 13 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 28 fu. 16-22 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hosea 8-14 (Dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 108
Dak. 15: “Namna ya Kufaidika na Kikundi Chenu cha Mahubiri.” Maulizo na majibu. Munapozungumuzia kisanduku kwenye ukurasa wa 6, uliza kwa kifupi mutu ambaye mikutano kwa ajili ya mahubiri inafanywa nyumbani mwake. Anajitayarisha namna gani ili mikutano hiyo ifanywe nyumbani mwake kila juma? Sababu gani anafurahia pendeleo hilo?
Dak. 15: “Njia Tano za Kupata Funzo la Biblia.” Maulizo na majibu. Kisha kuzungumuzia fungu la 6, uwaombe wahubiri ambao wameongoza mafunzo ya Biblia yenye kufanya maendeleo waeleze furaha ambayo wamepata.
Wimbo 122 na Sala