Programu ya Juma Tokea Tarehe 14 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 14 MWEZI WA 1
Wimbo 52 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 4 fu. 1-8 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mathayo 7-11 (Dak. 10)
Na. 1: Mathayo 10:24-42 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Uwe Mwenye Utambuzi, na Uepuke Vitu Visivyo vya Kweli—1 Sam. 12:21; Met. 23:4, 5 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Vizuri Kusali Kuhusu Mambo Gani?—rs uku. 259 fu. 3–uku. 260 fu. 3 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 73
Dak. 10: Toa Musaada Unaofaa. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 188, fungu la 4, mupaka ukurasa wa 189, fungu la 4. Uliza maulizo machache ndugu ao dada ambaye alifanya maendeleo kwa sababu wengine walimuhangaikia.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha nini? Mazungumuzo. Musome Mathayo 4:1-11. Muzungumuzie namna habari hiyo inavyoweza kutusaidia katika mahubiri.
Dak. 10: “Toa Ushahidi Kamili.” Maulizo na majibu.
Wimbo 92 na Sala