Programu ya Juma Tokea Tarehe 4 Mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 4 MWEZI WA 11
Wimbo 116 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo 3-4 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Tito 1-3–Filemoni 1-25(Dak. 10)
Na. 1: Tito 2:1-15 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Ni Vizuri Kuwa Mushiriki wa Dini Iliyopangwa Kitengenezo?—rs uku. 62 fu. 4–uku. 63 fu. 4 (Dak. 5)
Na. 3: Sababu Gani Hatupaswi ‘Kusikiliza Hadisi za Uongo’—1 Tim. 1:3, 4; 2 Tim. 4:3, 4 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 95
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Namna ya Kuwatolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 11. Mazungumuzo yanayotegemea maulizo yanayofuata: Inapofaa, sababu gani tunapaswa pia kuwatolea watu magazeti tunapowaachia trakte Habari ya Ufalme Na. 38 mwishoni mwa juma? Ni nafasi gani zinazofaa ili kufanya hivyo? Kisha kuwatolea watu trakte Habari ya Ufalme, tunaweza kusema nini ili kuwatolea magazeti? Mufanye onyesho kuhusu namna kila gazeti linavyoweza kutolewa pamoja na trakte Habari ya Ufalme Na. 38.
Dak. 10: Mahitaji ya Kutaniko Lenu.
Dak. 10: Neno la Mungu Lina Nguvu. (Ebr. 4:12) Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2013, ukurasa wa 57, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 59, fungu la 3. Omba ndugu na dada watoe maelezo kuhusu mambo tunayojifunza kutokana na habari hizo.
Wimbo 114 na Sala