Programu ya Juma Tokea Tarehe 11 Mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 11 MWEZI WA 11
Wimbo 119 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo 5-7 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waebrania 1-8 (Dak. 10)
Na. 1: Waebrania 4:1-16 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani Tunaweza Kuonyesha Kama Tuna “Hekima Inayotoka juu”?—Yak. 3:17, 18 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kumupenda Jirani Ndilo Jambo la Maana?—rs uku. 63 fu. 6 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 73
Dak. 10: Namna Tunavyoweza Kutoa Musaada Wetu. Hotuba inayotegemea Munara wa Mulinzi wa tarehe 15 Mwezi wa 11, 2013, ukurasa wa 8-9. Itolewe na muzee.
Dak. 10: Namna ya Kushinda Woga Tunapohubiri. Mazungumuzo yanayotegemea maulizo yanayofuata: (1) Tunapoogopa kugonga kwenye mulango, namna gani sala inaweza kutusaidia? (2) Namna gani kujitayarisha vizuri kunatusaidia tusiogope sana? (3) Ni nini itatusaidia tusiogope sana tunapohubiri na mwangalizi wa muzunguko? (4) Namna gani kuzoea kuhubiri kunatusaidia kupunguza woga? (5) Unapohubiri, unafanya nini ili kushinda woga?
Dak. 10: “Tuige Mufano wa Manabii—Hosea.” Maulizo na majibu.
Wimbo 113 na Sala