Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 4
Wimbo 15 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura 5 fu. 9-17 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 7-10 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 9:20-35 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Yesu Atarudi Namna Gani, na kwa Njia Gani Kila Jicho Litamuona?—rs uku. 117 fu. 4–uku. 118 fu. 5 (Dak. 5)
Na. 3: Abishai (Abishaï)—Uwe Mushikamanifu na Tayari Kuwasaidia Ndugu Zako—it-1-F uku. 25 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 124
Dak. 10: Tuwatolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 4. Mazungumuzo. Kwa kutumia mapendekezo mawili yaliyo kwenye ukurasa huu, mufanye kwanza onyesho kuhusu namna magazeti yanaweza kutolewa. Kisha muchunguze namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo tangu mwanzo mupaka mwisho. Malizia kwa kutumia muda mufupi ili kuwatia wote moyo wasome magazeti na washiriki kwa bidii katika kuyatolea watu.
Dak. 10: Musisahau Ukaribishaji-Wageni. (Ebr. 13:1, 2) Hotuba itakayotolewa na muzee. Zungumuzia mipango ya kutaniko lenu kwa ajili ya Ukumbusho. Onyesha namna wote wanaweza kukaribisha wageni na wahubiri wasiotenda ambao watahuzuria Ukumbusho. Mufanye onyesho fupi lenye sehemu mbili. Sehemu ya kwanza; mbele mikutano ianze muhubiri anamukaribisha mutu fulani aliyepewa mualiko wakati wa kampanye. Sehemu ya pili; kisha mikutano muhubiri anafanya mipango ili kumutembelea mugeni huyo.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wahubiri waeleze namna walifaidika kwa kutumia mapendekezo yaliyo katika habari “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kushinda Vizuia-Mazungumuzo.” Uwaombe wasikilizaji waeleze mambo yenye kufurahisha waliyokutana nayo.
Wimbo 20 na Sala