Programu ya Juma Tokea Tarehe 23 Mwezi wa 6
JUMA TOKEA TAREHE 23 MWEZI WA 6
Wimbo 109 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 9 fu. 1-7 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Walawi 10-13 (Dak. 10)
Na. 1: Walawi 12:1–13:8 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ukweli kuhusu zoea la Kuheshimu Masalio na Sanamu za “Watakatifu”—rs uku. 407 fu. 1–uku. 408 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Matukano (Injure, Parler en Mal): Kutukana Kunamuchukiza Yehova—it-1-F uk. 1182 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 82
Dak. 10: Vichapo vya Kuwatolea Watu Katika Mwezi wa 7. Mazungumuzo. Muzungumuzie kwa kifupi vichapo vitakavyotolewa. Mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Dak. 20: “Namna ya Kuwasaidia Wale Wasiojua Kusoma Vizuri.” Maulizo na majibu.
Wimbo 55 na Sala