Programu ya Juma la Tarehe 9 Mwezi wa 2
JUMA LA TAREHE 9 MWEZI WA 2
Wimbo 9 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 20 fu. 1-7 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 11-14 (Dak. 8)
Na. 1: Waamuzi 13:15-25 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Anasi (Anne, Na. 2)—Kichwa: Kupinga Kabisa Kabisa Kweli Hakuwezi Kuwa na Matokeo Yoyote—it-1-F uku. 125 (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Inasema Kweli Juu ya Mambo ya Sayansi?—igw uku. 7 fu. 1-3 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: Ukuwe na “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema!”—Tito 2:14.
Wimbo 54
Dak. 15: “Sababu Gani Tukuwe na ‘Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema’?” Mazungumuzo. Zungumuzia pia habari zenye kuwa katika Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 6, 2002, ukurasa 23, fungu la 17-19.
Dak. 15: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuhubiri Kupitia Telefone Yenye Kuwekwa Kwenye Mulango.” Mazungumuzo. Zungumuzia mifano yenye kutajwa, na uwaombe wahubiri waeleze mifano mbalimbali ya eneo lenu juu ya matokeo mazuri ambayo walipata wakati walihubiri kupitia telefone yenye kuwekwa kwenye mulango. Mufanye onyesho fupi kuhusu namna ya kutumia mapendekezo ambayo yametolewa. Kama katika eneo lenu telefone haziwekwe kwenye milango, mazungumuzo yenu yanaweza kutegemea kitabu Kutoa Sababu kwenye sehemu “Mtu akisema, ‘Tuombe kwanza, kisha unipe ujumbe wako’”. Mufanye maonyesho mawili yenye kufaa kuhusu namna tunaweza kujibia watu kama vile imeonyeshwa katika kitabu.
Wimbo 33 na Sala