Programu ya Juma la Tarehe 1 Mwezi wa 6
JUMA LA TAREHE 1 MWEZI WA 6
Wimbo 13 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 25 fu. 9-16 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 16-18 (Dak. 8)
a. 1: 2 Samweli 17:14-20 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Boazi (Boaz, I)—Kichwa: Uwe na Mwenendo Safi na Ukubali Madaraka Ambayo Mungu Anakutolea—it-1-F uku. 355 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Unaweza Kutumia Feza Zako kwa Hekima?—igw uku. 21 fu. 1-4 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: Uwasaidie watu wa namna zote wapate ujuzi sahihi wa kweli.—1 Tim. 2:3, 4.
Wimbo 36
Dak. 10: Tuwatolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 6. Mazungumuzo. Muanze kwa kufanya onyesho kuhusu namna magazeti yanaweza kutolewa, kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa huu. Kisha muchunguze namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo kuanzia mwanzo mupaka mwisho.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wahubiri waeleze namna walifaidika kwa kutumia mashauri yenye tulijifunza katika sehemu “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuhubiri Mutu Mwenye Kuzungumuza Luga Ingine.” Omba wasikilizaji waeleze mambo ya kufurahisha yenye walikutana nayo.
Wimbo 25 na Sala