Programu ya Juma la Tarehe 14 Mwezi wa 9
JUMA LA TAREHE 14 MWEZI WA 9
Wimbo 50 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 30 fu. 10-18 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 16-18 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Wafalme 17:12-18 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Unaweza Kufanya Nini ili Ufaidike Sana na Usomaji Wako wa Biblia?—igw uku. 32 (Dak. 5)
Na. 3: Ebed-meleki (Ébed-Mélek)—Kichwa: Usiogope, na Uwaheshimu Watumishi wa Yehova—it-1-F uku. 679-680 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
TUNGO LA MWEZI: ‘Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema’ —Mdo.20:24.
Wimbo 23
Dak. 10: ‘Toa Ushahidi Kamili Kuhusu Habari Njema.’ Hotuba yenye kutegemea tungo la mwezi na kitabu Kutoa Ushahidi, sura ya 1, fu. 1-11.—Matendo 20:24.
Dak. 20: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kutoa Ushahidi Katika Eneo la Biashara.” Mazungumuzo. Mufanye onyesho lenye sehemu mbili. Katika sehemu ya kwanza, muhubiri anakosa utambuzi wakati anamutolea ushahidi mufanya biashara fulani. Katika sehemu ya pili, muhubiri anatoa ushahidi, lakini anatumia utambuzi. Kisha, uwaombe wasikilizaji waseme sababu gani sehemu ya pili ya onyesho ilikuwa muzuri kuliko sehemu ya kwanza.
Wimbo 96 na Sala