Programu ya Juma la Tarehe 21 Mwezi wa 9
JUMA LA TAREHE 21 MWEZI WA 9
Wimbo 53 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 30 fu. 19-23, kisanduku kwenye uku. 309 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 19-22 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Wafalme 20:12-21 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Ehudi (Éhoud, Na. 2)— Kichwa: Yehova Anawaokoa Watu Wake—it-1-F uku. 715-716 (Dak. 5)
Na. 3: Neno “Amina” (Amen) Linamaanisha Nini?—it-1-F uku. 94-95 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
TUNGO LA MWEZI: ‘Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema’ —Mdo.20:24.
Wimbo 97
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani Mwaka wa Utumishi Wenye Ulipita? Hotuba. Itolewe na mwangalizi wa utumishi. Zungumuzia kazi yenye kutaniko lilifanya mwaka wenye ulipita. Kazia mambo mazuri yenye kutaniko lilitimiza, na uwapongeze wahubiri kwa kazi yenye walifanya. Utaje jambo moja ao mambo mawili yenye kutaniko linaweza kutengeneza mwaka huu kuhusu kazi ya kuhubiri, na uonyeshe namna ya kufanya.
Dak. 10: Kutoa Ushahidi Kamili Kunaleta Matokeo Mazuri. Mazungumuzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka cha 2015, uku. 54 fu. 1; uku. 56 fu. 2 mupaka uku. 57 fu. 1; na uku. 63 fu. 2 mupaka uku. 64 fu. 1. Kisha kuzungumuzia kila jambo lenye lilitendeka, omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo yenye wanajifunza kutokana na habari hiyo.
Dak. 10: “Tuige Imani Yao.” Maulizo na majibu.
Wimbo 81 na Sala