UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 MAMBO YA NYAKATI 33-36
Yehova Anapenda Watu Wenye Kutubu Kwelikweli
Maandishi
MANASE
Yehova aliruhusu akamatwe na Waashuru na kufungwa kwa pingu ili kupelekwa Babiloni
UTAWALA WAKE MBELE AFUNGWE
Alijenga mazabahu ya miungu ya uongo
Alitoa watoto wake kuwa zabihu kwa miungu ya uongo
Aliua watu wenye hawana makosa
Alichochea taifa lote kuzungumuza na roho waovu
UTAWALA WAKE KISHA KUFUNGULIWA
Alijinyenyekeza kabisa
Alisali kwa Yehova na alitoa zabihu nyingi
Aliondoa mazabahu ya miungu ya uongo
Alichochea taifa lote kumutumikia Yehova
YOSIA
WAKATI ALITAWALA
Alimutafuta Yehova
Alitakasa Yuda na Yerusalemu
Alitengeneza nyumba ya Yehova; alipata kitabu cha Sheria