Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 5 uku. 4
  • Tarehe 9-15 Mwezi wa 5

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 9-15 Mwezi wa 5
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 5 uku. 4

Tarehe 9-15/05

Zaburi 1-10

  • Wimbo 99 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Ili Tukuwe na Amani Pamoja na Yehova Tunapaswa Kuheshimia Yesu, Mwana Wake”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Zaburi.]

    • Zab 2:1-3—Ilitabiriwa kama watu watamuchukia Yehova na Yesu (w04 15/7 uku. 16-17 fu. 4-8; it-2-F uku. 713; it-2-F uku. 271 fu. 2)

    • Zab 2:8-12—Wale wenye kuheshimia Mufalme mutiwa-mafuta wa Yehova ndio tu watapata uzima (w04 1/8 uku. 5 fu. 2-3)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 2:7—“Agizo la Yehova” ni nini? (w06 15/5 uku. 17 fu. 6)

    • Zab 3:2—Neno Selah linamaanisha nini? (w06 15/5 uku. 18 fu.2

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 8:1–9:10

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2)wp16.3 habari kubwa—Soma andiko kwa kutumia chombo cha kielektroniki.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) wp16.3 habari kubwa—Soma andiko kwa kutumia JW Library ili musikilizaji aone namna inatafsiriwa katika luga yake.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 12 fu. 12-13—Utie moyo mwanafunzi aweke programu ya JW Library katika chombo chake cha kielektroniki.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 138

  • Heshimia Nyumba ya Yehova: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video Ukuwe Rafiki ya Yehova—Heshimia Nyumba ya Yehova (fungua kichwa MAFUNDISHO YA BIBLIA > WATOTO.) yenye kuwa kwenye jw.org. Kisha ualike watoto kwenye jukwaa na uwaulize maulizo juu ya video hiyo.

  • Jina la Mungu Katika Maandiko ya Kiebrania: (Dak. 10) Hotuba yenye kutegemea sehemu ya 1 ya broshua Musaada wa Kujifunza Neno la Mungu.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak.30) ia sura ya 15 fu. 1-14, “kisanduku Maulizo Kuhusu Esta” , kwenye uku. 138

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 11 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine