Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 5 uku. 4
  • Yehova Hakumuacha Yosefu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Hakumuacha Yosefu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Iko Anakusaidia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Namna Gani ‘Ninaweza Kufanya Ubaya Huu Mukubwa?’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Yehova Anamukomboa Yosefu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • “Je, Tafsiri Si za Mungu?”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 5 uku. 4
Yosefu iko mu gereza katika Misri.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 38-39

Yehova Hakumuacha Yosefu

39:1, 12-14, 20-23

Wakati Yosefu alipatwa na magumu mingi, Yehova alifanya “kila jambo lenye Yosefu alifanya liendeke muzuri” na alimufanya “akubaliwe mbele ya macho ya ofisa mukubwa wa gereza.” (Mwa 39:2, 3, 21-23) Hii habari inaweza kutufundisha nini?

  • Kama tunapata magumu, haiko kusema kama Yehova hatupendi.​—Zb 34:19

  • Tunapaswa kufikiri juu ya mambo yote ya muzuri yenye Yehova iko anatufanyia na tunapaswa kumushukuru.​—Flp 4:6, 7

  • Tunapaswa kumutegemea Yehova ili atusaidie.​—Zb 55:22

Picha: 1. Ndugu iko mu gereza, iko anasasoma barua yenye familia yake ilimutumia. 2. Ndugu iko ku kitanda mu hospitali.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine