UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 40-41
Yehova Anamukomboa Yosefu
Yosefu aliteseka kwa miaka 13 hivi, katika utumwa na katika gereza mbele Yehova amukomboe. Kuliko kuwa na uchungu, aliacha mambo yenye ilimupata imufanye akuwe mutu muzuri zaidi. (Zb 105:17-19) Alijua kama Yehova hakumuacha hata siku moja. Namna gani Yosefu alifanya yote yenye aliweza katika hali yake?
Alitumika kwa bidi na alikuwa mwenye kutumainika, kwa hiyo alipatia Yehova nafasi ya kumubariki.—Mwa 39:21, 22
Alihangaikia wengine kuliko kupatia malipizi wale wenye walimutendea mubaya.—Mwa 40:5-7
Namna gani mufano wa Yosefu unanisaidia kuvumilia magumu yangu?
Mbele Yehova anikomboe kwenye Armagedoni, namna gani ninaweza kufanya yote yenye ninaweza katika hali yangu?