Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 5 uku. 5
  • Tarehe 18-24/5

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 18-24/5
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 5 uku. 5

Tarehe 18-24/5

MWANZO 40-41

  • Wimbo 8 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Anamukomboa Yosefu”: (Dak. 10)

    • Mwa 41:9-13​—Farao alisikia kama Yosefu anaweza kufasiria ndoto (w15 1/2 uku. 14 fu. 4-5)

    • Mwa 41:16, 29-32​—Yehova alisaidia Yosefu kufasiria ndoto za Farao (w15 1/2 uku. 14-15)

    • Mwa 41:38-40​—Yosefu akakuwa na cheo cha pili katika Misri kisha Farao (w15 1/2 uku. 15 fu. 3)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 41:14​—Sababu gani Yosefu alikata ndevu mbele ya kuenda kuonana na Farao? (w15 1/11 uku. 9 fu. 1-3)

    • Mwa 41:33​—Namna Yosefu alizungumuza na Farao inaweza kutufundisha nini? (w09 15/11 uku. 28 fu. 14)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 40:1-23 (th somo ya 2)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uulize wasikilizaji: Nini njo inaonyesha kama bibi na bwana walitayarisha pamoja mbele ya kurudilia ule mutu? Namna gani ndugu alifasiria waziwazi sababu ya kutumia andiko?

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 11)

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umutolee musikilizaji kichapo kimoja kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 13)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 128

  • Ukuwe Kama Yosefu​—Vumilia Hata Kama Unatendewa Bila Haki: (Dak. 6) Muanze kwa kuangalia video Ukuwe Rafiki ya Yehova​—Vumilia Hata Kama Unatendewa Bila Haki. Kisha ualike watoto kwenye jukwaa, na uwaulize: Namna gani Caleb na Sophia walitendewa bila haki? Unawaza mufano wa Yosefu uliwafundisha nini?

  • Mahitaji ya kutaniko: (Dak. 9)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 115

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 124 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine