Tarehe 18-24/5
MWANZO 40-41
Wimbo 8 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yehova Anamukomboa Yosefu”: (Dak. 10)
Mwa 41:9-13—Farao alisikia kama Yosefu anaweza kufasiria ndoto (w15 1/2 uku. 14 fu. 4-5)
Mwa 41:16, 29-32—Yehova alisaidia Yosefu kufasiria ndoto za Farao (w15 1/2 uku. 14-15)
Mwa 41:38-40—Yosefu akakuwa na cheo cha pili katika Misri kisha Farao (w15 1/2 uku. 15 fu. 3)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 41:14—Sababu gani Yosefu alikata ndevu mbele ya kuenda kuonana na Farao? (w15 1/11 uku. 9 fu. 1-3)
Mwa 41:33—Namna Yosefu alizungumuza na Farao inaweza kutufundisha nini? (w09 15/11 uku. 28 fu. 14)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 40:1-23 (th somo ya 2)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uulize wasikilizaji: Nini njo inaonyesha kama bibi na bwana walitayarisha pamoja mbele ya kurudilia ule mutu? Namna gani ndugu alifasiria waziwazi sababu ya kutumia andiko?
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 11)
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umutolee musikilizaji kichapo kimoja kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 13)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 128
Ukuwe Kama Yosefu—Vumilia Hata Kama Unatendewa Bila Haki: (Dak. 6) Muanze kwa kuangalia video Ukuwe Rafiki ya Yehova—Vumilia Hata Kama Unatendewa Bila Haki. Kisha ualike watoto kwenye jukwaa, na uwaulize: Namna gani Caleb na Sophia walitendewa bila haki? Unawaza mufano wa Yosefu uliwafundisha nini?
Mahitaji ya kutaniko: (Dak. 9)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 115
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 124 na Sala