Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 7 uku. 6
  • Tarehe 27/7–2/8, 2020

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 27/7–2/8, 2020
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 7 uku. 6

Tarehe 27/7–2/8

KUTOKA 12

  • Wimbo 20 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Maana ya Pasaka kwa Wakristo”: (Dak. 10)

    • Kut 12:5-7​—Maana ya mwana-kondoo wa Pasaka (w07 1/1 uku. 20 fu. 4)

    • Kut 12:12, 13​—Maana ya damu yenye iliwekwa ku miimo ya milango (it-2-F uku. 485 fu. 7)

    • Kut 12:24-27​—Jambo la maana lenye tunaweza kujifunza kupitia Pasaka (w13 15/12 uku. 20 fu. 13-14)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Kut 12:12​—Namna gani mapigo yenye ilipata Wamisri, zaidi sana pigo la kumi, ilionyesha kama miungu yao haina nguvu? (it-2-F uku. 484 fu. 2)

    • Kut 12:14-16​—Kama vile sikukuu zingine takatifu, Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu, ilikuwa na jambo gani la pekee, na ililetea Waisraeli faida gani? (it-1-F uku. 207 fu. 1)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Kut 12:1-20 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo lenu. (th somo ya 2)

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umutolee musikilizaji gazeti la hivi karibuni. (th somo ya 6)

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) bhs uku. 16 fu. 21-22 (th somo ya 19)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 38

  • “Yehova Analinda Watu Wake”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie Video Kutembelea Nyumba ya Vitu vya Kukumbuka ya Warwick: “Watu kwa Ajili ya Jina la Yehova.”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 125

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 129 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine