Tarehe 27/7–2/8
KUTOKA 12
Wimbo 20 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Maana ya Pasaka kwa Wakristo”: (Dak. 10)
Kut 12:5-7—Maana ya mwana-kondoo wa Pasaka (w07 1/1 uku. 20 fu. 4)
Kut 12:12, 13—Maana ya damu yenye iliwekwa ku miimo ya milango (it-2-F uku. 485 fu. 7)
Kut 12:24-27—Jambo la maana lenye tunaweza kujifunza kupitia Pasaka (w13 15/12 uku. 20 fu. 13-14)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Kut 12:12—Namna gani mapigo yenye ilipata Wamisri, zaidi sana pigo la kumi, ilionyesha kama miungu yao haina nguvu? (it-2-F uku. 484 fu. 2)
Kut 12:14-16—Kama vile sikukuu zingine takatifu, Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu, ilikuwa na jambo gani la pekee, na ililetea Waisraeli faida gani? (it-1-F uku. 207 fu. 1)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Kut 12:1-20 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo lenu. (th somo ya 2)
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umutolee musikilizaji gazeti la hivi karibuni. (th somo ya 6)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) bhs uku. 16 fu. 21-22 (th somo ya 19)
MAISHA YA MUKRISTO
“Yehova Analinda Watu Wake”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie Video Kutembelea Nyumba ya Vitu vya Kukumbuka ya Warwick: “Watu kwa Ajili ya Jina la Yehova.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 125
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 129 na Sala