TAREHE 1-7/9
MEZALI 29
Wimbo 28 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Katala Mafundisho na Desturi Zenye Hazipatane na Biblia
(Dak. 10)
Kama unamutii Yehova njo utakuwa na furaha ya kweli (Mez 29:18; wp16.6 uku. 6, kisanduku)
Tafuta hekima yenye kutoka kwa Mungu juu ya kujua kama desturi fulani inamufurahisha Yehova ao hapana (Mez 29:3a; w19.04 uku. 17 fu. 13)
Usifuate batu benye banakukaza ujiingize mu desturi zenye hazipatane na maandiko (Mez 29:25; w18.11 uku. 11 fu. 12)
Kutafuta muzuri mawazo ya Biblia na kuambia bengine mawazo yetu waziwazi kunaweza kutusaidia tuepuke kufanya mambo yenye haimufurahishake Yehova
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Mez 29:5—Kusifu-sifu bengine maana yake nini, na ni mu maana gani “mutu mwenye anasifu-sifu jirani yake anatandika wavu wa kunasa miguu yake”? (it-F “Flatterie” fu. 1)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Mez 29:1-18 (th somo ya 5)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Alika mutu ku hotuba ya pekee yenye itafanyika. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Tumikisha Munara wa Mulinzi Na. 1 2025 juu ya kuanzisha mazungumuzo. Badilisha mazungumuzo juu ipatane na mambo yenye mwenye-nyumba anafurahia (lmd somo ya 3 nukta ya 3)
6. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 5) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Wakati mutu anakuambia kama iko na wasiwasi juu ya mambo ya vita, umutolee Munara wa Mulinzi Na. 1 2025. (lmd somo ya 3 nukta ya 4)
Wimbo 159
7. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) lfb utangulizi wa sehemu ya 4, na somo ya 14-15