Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 9 uku. 2
  • Tarehe 1-7/9

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 1-7/9
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 9 uku. 2

TAREHE 1-7/9

MEZALI 29

Wimbo 28 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Katala Mafundisho na Desturi Zenye Hazipatane na Biblia

(Dak. 10)

Kama unamutii Yehova njo utakuwa na furaha ya kweli (Mez 29:18; wp16.6 uku. 6, kisanduku)

Tafuta hekima yenye kutoka kwa Mungu juu ya kujua kama desturi fulani inamufurahisha Yehova ao hapana (Mez 29:3a; w19.04 uku. 17 fu. 13)

Usifuate batu benye banakukaza ujiingize mu desturi zenye hazipatane na maandiko (Mez 29:25; w18.11 uku. 11 fu. 12)

Picha mbalimbali: 1. Ndugu moya iko naandika mawazo yenye iko napata wakati iko nafanya utafiti mu Biblia na mu kitabu “Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo.” 2. Uleule ndugu iko nafasiria byenye anaamini ku batu ya familia yake benye habiko Mashahidi. Bamoya mu familia biko namusikiliza kwa uangalifu, lakini bengine banamukasirikia juu ya byenye iko nasema.

Kutafuta muzuri mawazo ya Biblia na kuambia bengine mawazo yetu waziwazi kunaweza kutusaidia tuepuke kufanya mambo yenye haimufurahishake Yehova

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Mez 29:5—Kusifu-sifu bengine maana yake nini, na ni mu maana gani “mutu mwenye anasifu-sifu jirani yake anatandika wavu wa kunasa miguu yake”? (it-F “Flatterie” fu. 1)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Mez 29:​1-18 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Alika mutu ku hotuba ya pekee yenye itafanyika. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Tumikisha Munara wa Mulinzi Na. 1 2025 juu ya kuanzisha mazungumuzo. Badilisha mazungumuzo juu ipatane na mambo yenye mwenye-nyumba anafurahia (lmd somo ya 3 nukta ya 3)

6. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 5) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Wakati mutu anakuambia kama iko na wasiwasi juu ya mambo ya vita, umutolee Munara wa Mulinzi Na. 1 2025. (lmd somo ya 3 nukta ya 4)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 159

7. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) lfb utangulizi wa sehemu ya 4, na somo ya 14-15

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 31 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine