TAREHE 8-14/9
MEZALI 30
Wimbo 136 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. “Usinipatie Umaskini Wala Utajiri”
(Dak. 10)
Jambo yenye inaleteaka mutu furaha ya kweli ni kumutumainia Mungu, hapana kutumainia utajiri (Mez 30:8, 9; w18.01 uku. 24-25 fu. 10-12)
Mutu wa tamaa hatoshekake (Mez 30:15, 16; w87-SW 15/5 uku. 30 fu. 7)
Kanuni za Biblia zitakusaidia uepuke madeni na mahangaiko yenye haina maana (Mez 30:24, 25; g19.3 uku. 10 fu. 4-5)
KU IBADA YA FAMILIA: Mujichunguze juu ya kuona kama muko na mawazo yenye kufaa juu ya makuta.—w24.06 uku. 13 fu. 18.
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Mez 30:26—Tunaweza kujifunza nini wakati tunachunguza Wibari? (w09 15/4 uku. 17 fu. 11-13)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Mez 30:1-14 (th somo ya 2)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Tumia Munara wa Mulinzi Na. 1 2025 juu ya kuanzisha mazungumuzo. (lmd somo ya 1 nukta ya 3)
5. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. (lmd somo ya 9 nukta ya 3)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 4) Hotuba. ijwbq-SW habari ya 102—Kichwa: Kucheza Michezo ya Makuta ni Zambi? (th somo ya 7)
Wimbo 80
7. Amani ya Uongo Isikudanganye!—Chibisa Selemani
(Dak. 5) Mazungumuzo.
Muangalie VIDEO. Kisha uliza basikilizaji:
Mufano wa ndugu Selemani unakufundisha nini kuhusu kukamata maamuzi yenye inaweza kukuletea furaha ya kweli na amani?
8. Video ya Mwezi wa 9 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo
(Dak. 10) Muangalie VIDEO.
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo ya 16-17