Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ijwfq habari 14
  • Makutaniko ya Mashahidi wa Yehova Yanapangwa Namna Gani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Makutaniko ya Mashahidi wa Yehova Yanapangwa Namna Gani?
  • Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Waangalizi wa Muzunguko Wanatusaidia Namna Gani?
    Ni Nani Wanafanya Mapenzi ya Yehova Leo?
  • Namna Kutaniko Inapangwa
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • “Uweke Wazee”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Namna Gani Baraza Lenye Kuongoza Linafanya Kazi Leo?
    Ni Nani Wanafanya Mapenzi ya Yehova Leo?
Ona Habari Zaidi
Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
ijwfq habari 14
Mukutano wa kutaniko

Makutaniko ya Mashahidi wa Yehova Yanapangwa Namna Gani?

Kila kutaniko linaongozwa na wazee. Makutaniko karibu 20 yanafanyiza muzunguko, na mizunguko karibu 10 inafanyiza wilaya moja. Makutaniko yanatembelewa mara kwa mara na wazee wanaoitwa waangalizi wa muzunguko na wa wilaya.

Baraza Linaloongoza linatolea makutaniko yote muongozo na maagizo. Baraza hilo linaundwa na wanaume ambao wamemutumikia Yehova kwa muda murefu na wanafanya kazi katika biro zinazosimamia kazi ya Mashahidi wa Yehova duniani pote ambazo zinapatikana katika muji wa Brooklyn, New York.—Matendo 15:23-29; 1 Timotheo 3:1-7.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine