SEHEMU YA KWANZA
“Mbingu Zilifunguka”
WAZO KUBWA: Picha ya makao ya Yehova
Hakuna mwanadamu mwenye anaweza kumuona Yehova, Mungu Mweza-Yote, na kuishi. (Kut. 33:20) Lakini Yehova alipatia Ezekieli maono yenye inaonyesha sehemu ya mbinguni ya tengenezo Lake—ile maono inatushangaza sana lakini pia inatusaidia tusamini sana pendeleo lenye tuko nalo la kumuabudu Mungu mumoja tu wa kweli.