UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 1-4
“Niko Pamoja Nawe ili Kukukomboa”
Maandishi
Maandishi
Pengine Yeremia alikuwa na miaka 25 hivi wakati Yehova alimuchagua kuwa nabii. Yeremia aliona kama hastahili mugao wa kuwa nabii, lakini Yehova alimuhakikishia kwamba angeendelea kumusaidia.
647
Yeremia anafanywa kuwa nabii
607
Yerusalemu inaharibiwa
580
Kitabu kinamalizwa
Miaka ya mbele ya Yesu