UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 8-11
Wanadamu Wako na Lazima ya Muongozo wa Yehova
Wanadamu hawana uwezo wala haki ya kujiongoza wenyewe
Kwa sababu wachungaji wa kiroho wa Israeli hawakumutafuta Yehova, watu walisambazwa
Wale wenye walifuata muongozo wa Yehova walipata amani, furaha ya kweli, na baraka nyingi