Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 4 uku. 8
  • Nini Njo Ninaona Kuwa ya Maana Zaidi?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Nini Njo Ninaona Kuwa ya Maana Zaidi?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Vijana, Munakaza Akili juu ya Miradi ya Kiroho?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Juu ya Nini Wakristo Wanapaswa Kujikaza Kufikia Madaraka?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Usiache Kufanya Maendeleo
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Jinsi ya Kufikia Miradi Yako ya Kumtumikia Mungu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2006
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 4 uku. 8
Yakobo iko anapigana na malaika mwenye kuvaa mwili wa mwanadamu.

MAISHA YA MUKRISTO

Nini Njo Ninaona Kuwa ya Maana Zaidi?

Yakobo alipigana na malaika ili apate jambo fulani la maana sana, ni kusema, baraka ya Yehova. (Mwa 32:24-31; Ho 12:3, 4) Je, sisi pia tuko tayari kujikaza sana ili kumutii Yehova na kupata baraka yake? Kwa mufano, tutachagua nini kati ya kuhuzuria mukutano wa kutaniko na kutumika saa fulani za zaidi kisha kazi yetu ya kimwili? Kama tunamutolea Yehova wakati wetu, nguvu yetu, na mali yetu, atatumuangia “baraka mupaka kusikuwe kitu chenye kitakosa.” (Mal 3:10) Atatuongoza, atatulinda, na kutusaidia kupata mambo yenye tuko nayo lazima.​—Mt 6:33; Ebr 13:5.

MUANGALIE VIDEO ENDELEA KUKAZA AKILI JUU YA MIRADI YA KIROHO, NA KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Dada fulani painia iko anafanya kazi ya kutafsiri luga ya ishara.

    Namna gani dada alijaribiwa na jambo lenye alikuwa anapenda?

  • Tena ule dada painia iko anatumika usiku mu biro mwenye muko giza.

    Namna gani kazi yetu ya kimwili inaweza kuwa jaribu kwetu?

  • Timoteo iko anasoma kitabu cha kukunjwa usiku na anasimama karibu na dirisha.

    Juu ya nini Timoteo alipaswa kuendelea kujiwekea miradi hata kama tayari alikuwa Mukristo mwenye kukomaa Kiroho?​—1Ti 4:16

  • Ule painia na dada mwingine wanasalimia mwanafunzi wa Biblia wakati wanafika ku nyumba yake ili wajifunze Biblia pamoja naye.

    Nini njo ya maana zaidi mu maisha yako?

    Namna gani tunaweza kuonyesha ni kazi gani tunaona kuwa ya maana zaidi?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine