Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp21 na. 3 uku. 15
  • Unaweza Kuamua Namna Maisha Yako Itakuwa Wakati Wenye Kuja

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unaweza Kuamua Namna Maisha Yako Itakuwa Wakati Wenye Kuja
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2021
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • NAMNA GANI TUNAWEZA KUMUPENDA YEHOVA NA KUSIKILIZA SAUTI YAKE?
  • Wakati Wako Wenye Kuja, Unategemea Uamuzi Wako!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
  • Unaweza Kuwa Karibu na Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2019
  • Wapole Watariti Dunia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
  • Utangulizi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2021
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2021
wp21 na. 3 uku. 15
Mwanaume moja mwenye iko fasi ya kukunyia café anaonyesha rafiki yake jambo fulani mu telefone yake.

Unaweza Kuamua Namna Maisha Yako Itakuwa Wakati Wenye Kuja

Kumepita miaka 3 500 hivi, tangu wakati Yehova Mungu aliambia hivi wale wenye walikuwa wanamuabudu kuhusu nini wangefanya juu wakuwe na maisha ya muzuri wakati wenye kuja. Aliwaambia hivi: “Nimeweka uzima na kifo mbele yako, baraka na laana; na unapaswa kuchagua uzima ili uendelee kuishi, wewe na wazao wako.”​—Kumbukumbu la Torati 30:19.

Ili wakuwe na maisha ya muzuri wakati wenye kuja, wale watu walipaswa kukamata uamuzi wa muzuri. Na siye leo ni vile. Biblia inatufasiria namna tunaweza kuchagua kuwa na maisha ya muzuri wakati wenye kuja: “Kwa kumupenda Yehova Mungu wako, kwa kusikiliza sauti yake.”​—Kumbukumbu la Torati 30:20.

NAMNA GANI TUNAWEZA KUMUPENDA YEHOVA NA KUSIKILIZA SAUTI YAKE?

UJIFUNZE KUPITIA BIBLIA: Juu umupende Yehova, unapaswa kwanza kujifunza ili kumujua kupitia Biblia. Wakati unafanya vile, utavumbua kama Yehova ni Mungu mwenye upendo na mwenye anakutakia tu mambo ya muzuri. Anakuomba usali kwake ‘kwa sababu yeye anakuhangaikia weye.’ (1 Petro 5:7) Biblia inaahidi kama, ikiwa unafanya yako yote ili kumukaribia, ‘naye atakukaribia.’​—Yakobo 4:8.

TUMIKISHA MAMBO YENYE UNAJIFUNZA: Kumusikiliza Mungu kunamaanisha kufuata muongozo wake wa hekima wenye kuwa mu Biblia. Wakati unafanya vile, “njia yako itakuwa na matokeo ya muzuri na utatenda kwa hekima.”​—Yoshua 1:8.

Ili kupata habari zaidi, fungua site yetu ya Enternete yenye kuwa ku jw.org, na kule unaweza kusoma Biblia, kupata majibu ya maulizo ya Biblia ao kuomba mutu fulani akusaidie kuelewa Biblia.

Kwa hiyo, uache Biblia ikuongoze juu ukuwe na maisha ya muzuri wakati wenye kuja!

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine