Unaweza Kuwa Karibu na Mungu
WATU FULANI WANAWAZA KAMA . . .
Mungu hatuhangaikie kabisa ao iko juu sana, ni mutakatifu, na haiwezekane kumukaribia.
MAMBO YENYE BIBLIA INASEMA
“Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia ninyi.”—Yakobo 4:8.
“Mumutupie mahangaiko yenu yote, kwa sababu yeye anawahangaikia ninyi.”—1 Petro 5:7.
TUNAWEZA KUFANYA NINI ILI KUWA KARIBU NA MUNGU?
- Zungumuza naye.—Zaburi 145:18, 19. 
- Umusikilize.—Zaburi 32:8. 
- Ufuate muongozo wake.—Mezali 3:5, 6. 
- Usichoke.—Matayo 7:7, 8.