Maelezo ya Chini
b Biblia inazungumuzia mara mbili zenye Waisraeli walimutolea Yehova zabihu za wanyama mu jangwa. Mara ya kwanza ilikuwa wakati wa kuweka makuhani, na mara ya pili ilikuwa wakati wa Pasaka. Ile matukio yote ilifanyika mu mwaka wa 1512 mbele ya kuzaliwa kwa Yesu, mwaka wa pili kisha Waisraeli kutoka Misri.—Law. 8:14–9:24; Hes. 9:1-5.