Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 27
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Wafilisti wanamupatia Daudi muji wa Siklagi (1-12)

1 Samweli 27:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 19:18; 22:1, 5
  • +1 Sa. 18:29; 23:23

1 Samweli 27:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:13; 30:9
  • +1 Sa. 21:10, 14; 27:12

1 Samweli 27:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:43
  • +1 Sa. 25:39, 42

1 Samweli 27:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 23:14; 26:25

1 Samweli 27:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:1, 5; 1 Sa. 30:1; 2 Sa. 1:1; 1Nya 12:1, 20

1 Samweli 27:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Hesabu ya siku zenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 29:3

1 Samweli 27:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 13:1, 2
  • +Mwa 36:12; Kut 17:8, 14; Hes 13:29; 1 Sa. 15:2; 2 Sa. 1:1
  • +Mwa 25:17, 18; Kut 15:22; 1 Sa. 15:7

1 Samweli 27:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 25:19; 1 Sa. 15:3

1 Samweli 27:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Negebu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:1, 2
  • +1Nya 2:9
  • +Hes 24:21; 1 Sa. 15:6

Maandiko ingine

1 Sam. 27:11 Sa. 19:18; 22:1, 5
1 Sam. 27:11 Sa. 18:29; 23:23
1 Sam. 27:21 Sa. 25:13; 30:9
1 Sam. 27:21 Sa. 21:10, 14; 27:12
1 Sam. 27:31 Sa. 25:43
1 Sam. 27:31 Sa. 25:39, 42
1 Sam. 27:41 Sa. 23:14; 26:25
1 Sam. 27:6Yosh. 19:1, 5; 1 Sa. 30:1; 2 Sa. 1:1; 1Nya 12:1, 20
1 Sam. 27:71 Sa. 29:3
1 Sam. 27:8Yosh. 13:1, 2
1 Sam. 27:8Mwa 36:12; Kut 17:8, 14; Hes 13:29; 1 Sa. 15:2; 2 Sa. 1:1
1 Sam. 27:8Mwa 25:17, 18; Kut 15:22; 1 Sa. 15:7
1 Sam. 27:9Kum 25:19; 1 Sa. 15:3
1 Sam. 27:10Yosh. 15:1, 2
1 Sam. 27:101Nya 2:9
1 Sam. 27:10Hes 24:21; 1 Sa. 15:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 27:1-12

Cha Kwanza cha Samweli

27 Lakini, Daudi akasema katika moyo wake: “Siku moja mukono wa Sauli utaniua. Jambo la muzuri sana kwangu ni kutorokea+ katika inchi ya Wafilisti; halafu Sauli ataacha kunitafuta katika eneo lote la Israeli,+ na nitaponyoka katika mukono wake.” 2 Kwa hiyo Daudi akaondoka pamoja na watu mia sita (600)+ wenye walikuwa pamoja naye na akaenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mufalme wa Gati. 3 Daudi akabakia na Akishi kule Gati, yeye pamoja na watu wake, kila mwanaume pamoja na watu wa nyumba yake. Daudi alikuwa pamoja na bibi zake wawili, Ahinoamu+ wa Yezreeli na Abigaili+ Mukarmeli, mujane wa Nabali. 4 Wakati Sauli aliambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbia kuenda Gati, akaacha kumutafuta.+

5 Kisha Daudi akamuambia Akishi: “Kama nimekubaliwa mbele ya macho yako, acha wanipatie mahali katika muji mumoja kati ya miji ya eneo la mashamba, ili niishi kule. Sababu gani mutumishi wako aishi pamoja na wewe katika muji wa kifalme?” 6 Kwa hiyo Akishi akamupatia muji wa Siklagi+ siku hiyo. Ndiyo sababu Siklagi ni muji wa wafalme wa Yuda mupaka leo.

7 Wakati wote wenye* Daudi aliishi katika eneo la mashamba la Wafilisti ulikuwa mwaka mumoja na miezi ine (4).+ 8 Daudi alikuwa anapanda pamoja na watu wake ili kushambulia Wageshuri,+ Wagirzi, na Waamaleki,+ kwa maana walikuwa wanakaa katika inchi yenye ilianzia Telamu mupaka Shuri+ na kushuka mupaka inchi ya Misri. 9 Wakati Daudi alikuwa anashambulia inchi, hakumuacha mwanaume wala mwanamuke yeyote akiwa muzima,+ lakini alikamata makundi, mifugo, punda, ngamia, na nguo, kisha alikuwa anarudia kwa Akishi. 10 Basi Akishi alikuwa anauliza: “Ulishambulia wapi leo?” Daudi alikuwa anajibu: “Upande wa kusini wa* Yuda”+ ao “Upande wa kusini wa Wayerahmeeli”+ ao “Upande wa kusini wa Wakeni.”+ 11 Daudi hakumuacha mwanaume ao mwanamuke yeyote akiwa muzima ili kuwaleta Gati, alisema: “Ili wasiwaambie kutuhusu na kusema, ‘Ni vile Daudi alifanya.’” (Na ni vile alizoea kufanya wakati wote wenye aliishi katika eneo la mashamba la Wafilisti.) 12 Kwa hiyo Akishi akamuamini Daudi, akisema katika moyo wake: “Hakika amenuka mubaya kati ya watu wake Israeli, kwa hiyo atakuwa mutumishi wangu sikuzote.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine