Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Wazao wa Lawi (1-30)

      • Waimbaji wa hekalu (31-47)

      • Wazao wa Haruni (48-53)

      • Makao ya Walawi (54-81)

1 Mambo ya Nyakati 6:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 29:34; Kut 6:16
  • +Kut 6:18; Hes 3:27
  • +Hes 3:17; 26:57

1 Mambo ya Nyakati 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:21
  • +Kut 6:22; Law. 10:4

1 Mambo ya Nyakati 6:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:20
  • +1Nya 23:13
  • +Kut 6:26; Mdo 7:37, 38
  • +Kut 15:20
  • +Kut 24:1; Law. 10:1
  • +Hes 3:32; Kum 10:6
  • +Kut 6:23; 28:1; Hes 4:28; 1Nya 24:2, 4

1 Mambo ya Nyakati 6:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:25; Hes 25:11

1 Mambo ya Nyakati 6:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:17

1 Mambo ya Nyakati 6:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:8; 2:35
  • +2 Sa. 15:27, 36

1 Mambo ya Nyakati 6:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 11:11

1 Mambo ya Nyakati 6:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:14

1 Mambo ya Nyakati 6:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:18
  • +Hag 1:1

1 Mambo ya Nyakati 6:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Gershoni katika mustari wa 1.

1 Mambo ya Nyakati 6:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 3:18

1 Mambo ya Nyakati 6:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 3:19, 20

1 Mambo ya Nyakati 6:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:57

1 Mambo ya Nyakati 6:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 3:18

1 Mambo ya Nyakati 6:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Wazao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:1, 32; 26:10, 11; Yud 11

1 Mambo ya Nyakati 6:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:24

1 Mambo ya Nyakati 6:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:1

1 Mambo ya Nyakati 6:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:20
  • +1 Sa. 8:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 6:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Wazao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:19; 1Nya 23:21

1 Mambo ya Nyakati 6:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:17; 1Nya 15:16

1 Mambo ya Nyakati 6:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:14
  • +2Nya 35:15

1 Mambo ya Nyakati 6:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:16, 17
  • +1 Sa. 8:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 6:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:1

1 Mambo ya Nyakati 6:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:1; 2Nya 5:12; Zab 50:utangulizi

1 Mambo ya Nyakati 6:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:6
  • +1Nya 15:16, 17

1 Mambo ya Nyakati 6:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ndio wenye walitolewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 3:5-7

1 Mambo ya Nyakati 6:49

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:1; Hes 3:10
  • +Kut 29:38
  • +Kut 30:7
  • +Kut 30:10; Law. 4:20; 17:11; 2Nya 29:24

1 Mambo ya Nyakati 6:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:23
  • +Kut 28:1; Hes 3:32

1 Mambo ya Nyakati 6:52

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:17

1 Mambo ya Nyakati 6:53

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:35

1 Mambo ya Nyakati 6:54

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kambi zao zenye kuzungukwa na ukuta.”

1 Mambo ya Nyakati 6:55

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:22; Yosh. 21:8, 11

1 Mambo ya Nyakati 6:56

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 14:13; Amu 1:20

1 Mambo ya Nyakati 6:57

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “muji wa” kulingana na Yos 21:13.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:12, 13
  • +Yosh. 20:7, 9
  • +Yosh. 15:20, 42
  • +Yosh. 15:20, 48
  • +Yosh. 21:13-16

1 Mambo ya Nyakati 6:58

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 1:11

1 Mambo ya Nyakati 6:59

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 4:24, 32
  • +Yosh. 15:10, 12

1 Mambo ya Nyakati 6:60

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 18:21, 24
  • +Yosh. 21:8, 18; Yer 1:1
  • +Yosh. 21:4

1 Mambo ya Nyakati 6:61

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walipewa kwa kura.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:5

1 Mambo ya Nyakati 6:62

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:27-33

1 Mambo ya Nyakati 6:63

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:34-40

1 Mambo ya Nyakati 6:64

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:2-4

1 Mambo ya Nyakati 6:66

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:20-26

1 Mambo ya Nyakati 6:67

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “muji wa,” kulingana na Yos 21:21.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 20:7, 9
  • +Yosh. 16:10

1 Mambo ya Nyakati 6:68

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 10:11

1 Mambo ya Nyakati 6:69

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 10:12; Amu 1:35
  • +Yosh. 19:45, 48

1 Mambo ya Nyakati 6:71

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:41-43
  • +Yosh. 21:27

1 Mambo ya Nyakati 6:72

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:12, 16
  • +Yosh. 21:8, 28

1 Mambo ya Nyakati 6:74

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:8, 30

1 Mambo ya Nyakati 6:75

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:28, 31; Amu 1:31

1 Mambo ya Nyakati 6:76

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 20:7, 9; 21:32, 33
  • +Mt 3:13

1 Mambo ya Nyakati 6:77

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:34-39

1 Mambo ya Nyakati 6:78

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:23

1 Mambo ya Nyakati 6:79

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:26

1 Mambo ya Nyakati 6:80

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 32:1, 2; 2 Sa. 2:8

1 Mambo ya Nyakati 6:81

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:26
  • +Hes 32:1

Maandiko ingine

1 Nya. 6:1Mwa 29:34; Kut 6:16
1 Nya. 6:1Kut 6:18; Hes 3:27
1 Nya. 6:1Hes 3:17; 26:57
1 Nya. 6:2Kut 6:21
1 Nya. 6:2Kut 6:22; Law. 10:4
1 Nya. 6:3Kut 6:20
1 Nya. 6:31Nya 23:13
1 Nya. 6:3Kut 6:26; Mdo 7:37, 38
1 Nya. 6:3Kut 15:20
1 Nya. 6:3Kut 24:1; Law. 10:1
1 Nya. 6:3Hes 3:32; Kum 10:6
1 Nya. 6:3Kut 6:23; 28:1; Hes 4:28; 1Nya 24:2, 4
1 Nya. 6:4Kut 6:25; Hes 25:11
1 Nya. 6:72 Sa. 8:17
1 Nya. 6:81 Fal. 1:8; 2:35
1 Nya. 6:82 Sa. 15:27, 36
1 Nya. 6:12Ne 11:11
1 Nya. 6:132Nya 34:14
1 Nya. 6:142 Fal. 25:18
1 Nya. 6:14Hag 1:1
1 Nya. 6:17Hes 3:18
1 Nya. 6:18Hes 3:19, 20
1 Nya. 6:19Hes 26:57
1 Nya. 6:20Hes 3:18
1 Nya. 6:22Hes 16:1, 32; 26:10, 11; Yud 11
1 Nya. 6:23Kut 6:24
1 Nya. 6:271 Sa. 1:1
1 Nya. 6:281 Sa. 1:20
1 Nya. 6:281 Sa. 8:1, 2
1 Nya. 6:29Kut 6:19; 1Nya 23:21
1 Nya. 6:312 Sa. 6:17; 1Nya 15:16
1 Nya. 6:321 Fal. 6:14
1 Nya. 6:322Nya 35:15
1 Nya. 6:331Nya 15:16, 17
1 Nya. 6:331 Sa. 8:1, 2
1 Nya. 6:341 Sa. 1:1
1 Nya. 6:391Nya 25:1; 2Nya 5:12; Zab 50:utangulizi
1 Nya. 6:441Nya 23:6
1 Nya. 6:441Nya 15:16, 17
1 Nya. 6:48Hes 3:5-7
1 Nya. 6:49Kut 28:1; Hes 3:10
1 Nya. 6:49Kut 29:38
1 Nya. 6:49Kut 30:7
1 Nya. 6:49Kut 30:10; Law. 4:20; 17:11; 2Nya 29:24
1 Nya. 6:50Kut 6:23
1 Nya. 6:50Kut 28:1; Hes 3:32
1 Nya. 6:522 Sa. 8:17
1 Nya. 6:531 Fal. 2:35
1 Nya. 6:55Hes 13:22; Yosh. 21:8, 11
1 Nya. 6:56Yosh. 14:13; Amu 1:20
1 Nya. 6:57Hes 35:12, 13
1 Nya. 6:57Yosh. 20:7, 9
1 Nya. 6:57Yosh. 15:20, 42
1 Nya. 6:57Yosh. 15:20, 48
1 Nya. 6:57Yosh. 21:13-16
1 Nya. 6:58Amu 1:11
1 Nya. 6:591Nya 4:24, 32
1 Nya. 6:59Yosh. 15:10, 12
1 Nya. 6:60Yosh. 18:21, 24
1 Nya. 6:60Yosh. 21:8, 18; Yer 1:1
1 Nya. 6:60Yosh. 21:4
1 Nya. 6:61Yosh. 21:5
1 Nya. 6:62Yosh. 21:27-33
1 Nya. 6:63Yosh. 21:34-40
1 Nya. 6:64Hes 35:2-4
1 Nya. 6:66Yosh. 21:20-26
1 Nya. 6:67Yosh. 20:7, 9
1 Nya. 6:67Yosh. 16:10
1 Nya. 6:68Yosh. 10:11
1 Nya. 6:69Yosh. 10:12; Amu 1:35
1 Nya. 6:69Yosh. 19:45, 48
1 Nya. 6:71Kum 4:41-43
1 Nya. 6:71Yosh. 21:27
1 Nya. 6:72Yosh. 19:12, 16
1 Nya. 6:72Yosh. 21:8, 28
1 Nya. 6:74Yosh. 21:8, 30
1 Nya. 6:75Yosh. 19:28, 31; Amu 1:31
1 Nya. 6:76Yosh. 20:7, 9; 21:32, 33
1 Nya. 6:76Mt 3:13
1 Nya. 6:77Yosh. 21:34-39
1 Nya. 6:78Hes 21:23
1 Nya. 6:79Kum 2:26
1 Nya. 6:80Mwa 32:1, 2; 2 Sa. 2:8
1 Nya. 6:81Hes 21:26
1 Nya. 6:81Hes 32:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 6:1-81

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni, Kohati,+ na Merari.+ 2 Wana wa Kohati walikuwa Amramu, Ishari,+ Hebroni, na Uzieli.+ 3 Watoto* wa Amramu+ walikuwa Haruni,+ Musa,+ na pia Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu, Abihu,+ Eleazari,+ na Itamari.+ 4 Eleazari akamuzaa Finehasi;+ Finehasi akamuzaa Abishua. 5 Abishua akamuzaa Buki; Buki akamuzaa Uzi. 6 Uzi akamuzaa Zeraya; Zeraya akamuzaa Merayoti. 7 Merayoti akamuzaa Amaria; Amaria akamuzaa Ahitubu.+ 8 Ahitubu akamuzaa Sadoki;+ Sadoki akamuzaa Ahimaazi.+ 9 Ahimaazi akamuzaa Azaria; Azaria akamuzaa Yohanani. 10 Yohanani akamuzaa Azaria. Alitumika akiwa kuhani katika nyumba yenye Sulemani alijenga katika Yerusalemu.

11 Azaria akamuzaa Amaria; Amaria akamuzaa Ahitubu. 12 Ahitubu akamuzaa Sadoki;+ Sadoki akamuzaa Shalumu. 13 Shalumu akamuzaa Hilkia;+ Hilkia akamuzaa Azaria. 14 Azaria akamuzaa Seraya;+ Seraya akamuzaa Yehosadaki.+ 15 Na Yehosadaki alienda katika uhamisho wakati Yehova alikamata Yuda na Yerusalemu na kuwapeleka katika uhamisho kupitia mukono wa Nebukadneza.

16 Wana wa Lawi walikuwa Gershomu,* Kohati, na Merari. 17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershomu: Libni na Shimei.+ 18 Wana wa Kohati walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli.+ 19 Wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.

Hizi ndizo zilikuwa familia za Walawi kulingana na mababu zao:+ 20 Ya Wagershomu,+ Libni mwana wake, Yahati mwana wake, Zima mwana wake, 21 Yoa mwana wake, Ido mwana wake, Zera mwana wake, Yeaterai mwana wake. 22 Wana* wa Kohati walikuwa Aminadabu mwana wake, Kora+ mwana wake, Asiri mwana wake, 23 Elkana mwana wake, Ebiasafu+ mwana wake, Asiri mwana wake, 24 Tahati mwana wake, Urieli mwana wake, Uzia mwana wake, na Shauli mwana wake. 25 Wana wa Elkana walikuwa Amasai na Ahimoti. 26 Na kuhusu Elkana, wana wa Elkana walikuwa Zofai mwana wake, Nahati mwana wake, 27 Eliabu mwana wake, Yerohamu mwana wake, Elkana+ mwana wake. 28 Wana wa Samweli+ walikuwa Yoeli muzaliwa wa kwanza, na wa pili Abiya.+ 29 Wana* wa Merari walikuwa Mali,+ Libni mwana wake, Shimei mwana wake, Uza mwana wake, 30 Shimea mwana wake, Hagia mwana wake, na Asaya mwana wake.

31 Hao ndio wenye Daudi aliweka ili waongoze uimbaji kwenye nyumba ya Yehova kisha Sanduku kuja kupumuzika mule.+ 32 Walikuwa na daraka la kusimamia uimbaji katika tabenakulo ya hema ya mukutano mupaka wakati Sulemani alijenga nyumba ya Yehova katika Yerusalemu,+ na walitimiza utumishi wao kama vile waliagizwa.+ 33 Hawa ndio wanaume wenye walitumika pamoja na wana wao: kati ya Wakohati, Hemani+ mwimbaji, mwana wa Yoeli+ mwana wa Samweli 34 mwana wa Elkana+ mwana wa Yerohamu mwana wa Elieli mwana wa Toa 35 mwana wa Sufu mwana wa Elkana mwana wa Mahati mwana wa Amasai 36 mwana wa Elkana mwana wa Yoeli mwana wa Azaria mwana wa Sefania 37 mwana wa Tahati mwana wa Asiri mwana wa Ebiasafu mwana wa Kora 38 mwana wa Ishari mwana wa Kohati mwana wa Lawi mwana wa Israeli.

39 Asafu+ ndugu yake alisimama kwenye mukono wake wa kuume; Asafu alikuwa mwana wa Berekia mwana wa Shimea 40 mwana wa Mikaeli mwana wa Baaseya mwana wa Malkiya 41 mwana wa Etni mwana wa Zera mwana wa Adaya 42 mwana wa Etani mwana wa Zima mwana wa Shimei 43 mwana wa Yahati mwana wa Gershomu mwana wa Lawi.

44 Wazao wa Merari+ ndugu zao walikuwa kwenye mukono wa kushoto; kulikuwa Etani+ mwana wa Kishi mwana wa Abdi mwana wa Maluku 45 mwana wa Hashabia mwana wa Amazia mwana wa Hilkia 46 mwana wa Amzi mwana wa Bani mwana wa Shemeri 47 mwana wa Mali mwana wa Mushi mwana wa Merari mwana wa Lawi.

48 Ndugu zao Walawi waliwekwa* ili wafanye utumishi wote wa tabenakulo, nyumba ya Mungu wa kweli.+ 49 Haruni na wana wake+ walichoma zabihu ili zitoe moshi kwenye mazabahu ya toleo la kuteketezwa+ na kwenye mazabahu ya uvumba,+ wakitimiza kazi zenye kuhusiana na vitu vitakatifu zaidi, ili kufunika zambi kwa ajili ya Israeli,+ kulingana na mambo yote yenye Musa mutumishi wa Mungu wa kweli alikuwa ameamuru. 50 Hawa ndio walikuwa wazao wa Haruni:+ Eleazari+ mwana wake, Finehasi mwana wake, Abishua mwana wake, 51 Buki mwana wake, Uzi mwana wake, Zeraya mwana wake, 52 Merayoti mwana wake, Amaria mwana wake, Ahitubu+ mwana wake, 53 Sadoki+ mwana wake, na Ahimaazi mwana wake.

54 Haya ndiyo yalikuwa makao yao kulingana na kambi zao* katika eneo lao: kwa ajili ya wazao wa Haruni wenye walikuwa wa familia ya Wakohati, kwa kuwa kura ya kwanza iliwaangukia, 55 waliwapatia Hebroni+ katika inchi ya Yuda, pamoja na malisho yake ya pembeni-pembeni. 56 Lakini eneo la mashamba la muji na makao yake walivipatia Kalebu+ mwana wa Yefune. 57 Na wakapatia wazao wa Haruni miji ya* makimbilio,+ Hebroni,+ na pia Libna+ na malisho yake, Yatiri,+ Eshtemoa na malisho yake,+ 58 Hileni na malisho yake, Debiri+ na malisho yake, 59 Ashani+ na malisho yake, na Bet-shemeshi+ na malisho yake; 60 na kutoka katika kabila la Benyamini, Geba+ na malisho yake, Alemeti na malisho yake, na Anatoti+ na malisho yake. Miji yao yote kwa ajili ya familia zao ilikuwa miji kumi na tatu (13).+

61 Wakohati wenye walibakia walipewa* miji kumi (10), kutoka katika familia ya kabila, kutoka katika nusu ya kabila, nusu ya Manase.+

62 Wagershomu kulingana na familia zao walipewa miji kumi na tatu (13) kutoka katika kabila la Isakari, kabila la Asheri, kabila la Naftali, na kabila la Manase katika Bashani.+

63 Wamerari kulingana na familia zao walipewa kwa kura miji kumi na mbili (12) kutoka katika kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na kabila la Zabuloni.+

64 Hivyo Waisraeli walipatia Walawi miji hiyo na malisho yake.+ 65 Zaidi ya hayo, waliwapatia kwa kura miji hiyo kutoka katika kabila la Yuda, kabila la Simeoni, na kabila la Benyamini, yenye kutajwa kwa majina yao.

66 Familia fulani za Wakohati zilikuwa na miji kutoka katika kabila la Efraimu kuwa eneo lao.+ 67 Waliwapatia miji ya* makimbilio, Shekemu+ na malisho yake katika eneo lenye milima la Efraimu, Gezeri+ na malisho yake, 68 Yokmeamu na malisho yake, Bet-horoni+ na malisho yake, 69 Aiyaloni+ na malisho yake, na Gat-rimoni+ na malisho yake; 70 na kutoka katika nusu ya kabila la Manase, Aneri na malisho yake na Bileamu na malisho yake, kwa familia zenye zilibakia za Wakohati.

71 Wagershomu walipewa kutoka katika familia ya nusu ya kabila la Manase, Golani+ katika Bashani na malisho yake na Ashtaroti na malisho yake;+ 72 na kutoka katika kabila la Isakari, Kedeshi na malisho yake, Daberati+ na malisho yake,+ 73 Ramoti na malisho yake, na Anemu na malisho yake; 74 na kutoka katika kabila la Asheri, Mashali na malisho yake, Abdoni na malisho yake,+ 75 Hukoki na malisho yake, na Rehobu+ na malisho yake; 76 na kutoka katika kabila la Naftali, Kedeshi+ katika Galilaya+ na malisho yake, Hamoni na malisho yake, na Kiriataimu na malisho yake.

77 Wamerari wenye walibakia walipewa kutoka katika kabila la Zabuloni,+ Rimono na malisho yake, Tabori na malisho yake; 78 na katika eneo la Yordani kule Yeriko, upande wa mashariki wa Yordani, kutoka katika kabila la Rubeni, walipewa Beseri katika jangwa na malisho yake, Yahazi+ na malisho yake, 79 Kedemoti+ na malisho yake, na Mefaati na malisho yake; 80 na kutoka katika kabila la Gadi, Ramoti katika Gileadi na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake, 81 Heshboni+ na malisho yake, na Yazeri+ na malisho yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine