Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Wazao wa Benyamini (1-40)

        • Ukoo wa Sauli (33-40)

1 Mambo ya Nyakati 8:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:16, 18
  • +1Nya 7:6
  • +Mwa 46:21

1 Mambo ya Nyakati 8:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 46:21

1 Mambo ya Nyakati 8:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:8, 17; 1 Sa. 13:16

1 Mambo ya Nyakati 8:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “shamba.”

  • *

    Ao pengine, “kisha kufukuza bibi zake, Hushimu na Baara.”

1 Mambo ya Nyakati 8:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kuizunguka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 6:2
  • +Ezr 2:1, 33

1 Mambo ya Nyakati 8:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:42, 48; 21:8, 24

1 Mambo ya Nyakati 8:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 9:15, 17; 21:8, 17; 1Nya 21:29
  • +1Nya 9:35-38

1 Mambo ya Nyakati 8:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Ishbosheti.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:50
  • +1 Sa. 9:1, 2; 11:15
  • +1 Sa. 14:45
  • +1 Sa. 14:49
  • +1 Sa. 31:2
  • +2 Sa. 2:8; 1Nya 9:39-44

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 32

1 Mambo ya Nyakati 8:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Mefibosheti.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 4:4
  • +2 Sa. 9:12

1 Mambo ya Nyakati 8:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wenye kukanyanga.”

Maandiko ingine

1 Nya. 8:1Mwa 35:16, 18
1 Nya. 8:11Nya 7:6
1 Nya. 8:1Mwa 46:21
1 Nya. 8:3Mwa 46:21
1 Nya. 8:6Yosh. 21:8, 17; 1 Sa. 13:16
1 Nya. 8:12Ne 6:2
1 Nya. 8:12Ezr 2:1, 33
1 Nya. 8:13Yosh. 19:42, 48; 21:8, 24
1 Nya. 8:29Yosh. 9:15, 17; 21:8, 17; 1Nya 21:29
1 Nya. 8:291Nya 9:35-38
1 Nya. 8:331 Sa. 14:50
1 Nya. 8:331 Sa. 9:1, 2; 11:15
1 Nya. 8:331 Sa. 14:45
1 Nya. 8:331 Sa. 14:49
1 Nya. 8:331 Sa. 31:2
1 Nya. 8:332 Sa. 2:8; 1Nya 9:39-44
1 Nya. 8:342 Sa. 4:4
1 Nya. 8:342 Sa. 9:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 8:1-40

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

8 Benyamini+ akamuzaa Bela+ muzaliwa wake wa kwanza, wa pili Ashbeli,+ wa tatu (3) Ahara, 2 wa ine (4) Noha, na wa tano (5) Rafa. 3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera,+ Abihudi, 4 Abishua, Naamani, Ahoa, 5 Gera, Shefufani, na Huramu. 6 Hawa ndio walikuwa wana wa Ehudi, vichwa vya jamaa za upande wa baba za wakaaji wa Geba,+ wenye walikamatwa na kupelekwa katika uhamisho kule Manahati: 7 Naamani, Ahiya, na Gera⁠—​yeye ndiye aliwakamata na kuwapeleka katika uhamisho na akazaa Uza na Ahihudi. 8 Shaharaimu akazaa watoto katika eneo* la Moabu kisha kuwafukuza. Hushimu na Baara walikuwa bibi zake.* 9 Na kupitia Hodeshi bibi yake, akamuzaa Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu, 10 Yeuzi, Sakia, na Mirma. Hao walikuwa wana wake, vichwa vya jamaa za upande wa baba.

11 Kupitia Hushimu akazaa Abitubu na Elpaali. 12 Na wana wa Elpaali walikuwa Eberi, Mishamu, Shemedi (mwenye alijenga Ono+ na Lodi+ na miji yake ya pembeni-pembeni*), 13 Beria, na Shema. Hao walikuwa vichwa vya jamaa za upande wa baba za wakaaji wa Aiyaloni.+ Hao walifukuza wakaaji wa Gati. 14 Na kulikuwa Ahio, Shashaki, Yeremoti, 15 Zebadia, Aradi, Ederi, 16 Mikaeli, Ishpa, Yoha, wana wa Beria; 17 na Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi, 18 Ishmerai, Izlia, Yobabu, wana wa Elpaali; 19 na Yakimu, Zikri, Zabdi, 20 Elienai, Ziletai, Elieli, 21 Adaya, Beraya, Shimrati, wana wa Shimei; 22 na Ishpani, Eberi, Elieli, 23 Abdoni, Zikri, Hanani, 24 Hanania, Elamu, Antotiya, 25 Ifdeya, Penueli, wana wa Shashaki; 26 na Shamsherai, Sheharia, Atalia, 27 Yaareshia, Eliya, Zikri, wana wa Yerohamu. 28 Hao ndio walikuwa vichwa vya jamaa za upande wa baba kulingana na wazao wao. Vichwa hao waliishi katika Yerusalemu.

29 Yeieli, baba ya Gibeoni, aliishi katika Gibeoni.+ Jina la bibi yake lilikuwa Maaka.+ 30 Na mwana wake muzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, kisha Suri, Kishi, Baali, Nadabu, 31 Gedori, Ahio, na Zekeri. 32 Mikloti akamuzaa Shimea. Na wote waliishi karibu na ndugu zao katika Yerusalemu, pamoja na ndugu zao wengine.

33 Neri+ akamuzaa Kishi; Kishi akamuzaa Sauli;+ Sauli akamuzaa Yonatani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali.*+ 34 Na mwana wa Yonatani alikuwa Merib-baali.*+ Merib-baali akamuzaa Mika.+ 35 Na wana wa Mika walikuwa Pitoni, Meleki, Tarea, na Ahazi. 36 Ahazi akamuzaa Yehoada; Yehoada akamuzaa Alemeti, Azmaveti, na Zimri. Zimri akamuzaa Mosa. 37 Mosa akamuzaa Binea, Rafa mwana wake, Eleasa mwana wake, Aseli mwana wake. 38 Aseli alikuwa na wana sita (6), na majina yao yalikuwa Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia, na Hanani. Hao wote ndio walikuwa wana wa Aseli. 39 Na wana wa Esheki ndugu yake walikuwa Ulamu muzaliwa wake wa kwanza, wa pili Yeushi, na wa tatu (3) Elifeleti. 40 Na wana wa Ulamu walikuwa wapiganaji-vita wenye nguvu wenye wanaweza kushika* upinde, na walikuwa na wana wengi na wajukuu wengi, hesabu yao ilikuwa mia moja makumi tano (150). Hao wote walikuwa wazao wa Benyamini.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine