Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Israeli wote wanamutia Daudi mafuta ili akuwe mufalme (1-3)

      • Daudi anakamata Sayuni (4-9)

      • Wapiganaji-vita wenye nguvu wa Daudi (10-47)

1 Mambo ya Nyakati 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Tuko na uhusiano wa damu pamoja na wewe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:22; 2 Sa. 2:1; 5:5; 1Nya 12:23
  • +2 Sa. 5:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ulikuwa unatosha inje na kuingiza ndani Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:6, 13
  • +2 Sa. 6:21; 7:8, 9; Zab 78:70, 71

1 Mambo ya Nyakati 11:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:13; 2 Sa. 2:4; 5:3
  • +1 Sa. 15:27, 28

1 Mambo ya Nyakati 11:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:63; Amu 1:21; 19:10
  • +Mwa 10:15, 16; 15:18, 21; Kut 3:17

1 Mambo ya Nyakati 11:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:6-10
  • +1 Fal. 8:1; Zab 2:6; 48:2
  • +1 Fal. 2:10

1 Mambo ya Nyakati 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:18

1 Mambo ya Nyakati 11:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Milo.” Neno la Kiebrania lenye kumaanisha “jaza.”

1 Mambo ya Nyakati 11:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:1

1 Mambo ya Nyakati 11:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:12, 13

1 Mambo ya Nyakati 11:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 27:1, 2
  • +2 Sa. 23:8
  • +Yosh. 23:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 10

1 Mambo ya Nyakati 11:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:9, 10, 15-17
  • +1Nya 8:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 11:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:1

1 Mambo ya Nyakati 11:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wokovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:50

1 Mambo ya Nyakati 11:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 22:1
  • +Yosh. 15:8, 12; 2 Sa. 23:13-17

1 Mambo ya Nyakati 11:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 20:6

1 Mambo ya Nyakati 11:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2012, uku. 6

1 Mambo ya Nyakati 11:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi zao.”

  • *

    Ao “nafsi zao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:4; Law. 17:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2012, uku. 6

1 Mambo ya Nyakati 11:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:6; 2 Sa. 2:18; 18:2
  • +2 Sa. 3:30
  • +2 Sa. 23:18, 19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 10

1 Mambo ya Nyakati 11:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 10

1 Mambo ya Nyakati 11:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwana wa mwanaume hodari.”

  • *

    Ao “neige.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:4; 1Nya 27:1, 5
  • +Yosh. 15:21
  • +Amu 14:5, 6; 1 Sa. 17:36, 37; 2 Sa. 23:20-23

1 Mambo ya Nyakati 11:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Urefu wake ulikuwa karibu metre 2.23 (futi 7.3). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:4
  • +1 Sa. 17:7
  • +1 Sa. 17:51

1 Mambo ya Nyakati 11:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 11:19

1 Mambo ya Nyakati 11:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:18, 23; 1Nya 27:1, 7
  • +2 Sa. 23:24-39

1 Mambo ya Nyakati 11:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 27:1, 9
  • +1Nya 27:1, 12

1 Mambo ya Nyakati 11:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 21:18; 1Nya 27:1, 11

1 Mambo ya Nyakati 11:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 27:1, 13
  • +1Nya 27:1, 15

1 Mambo ya Nyakati 11:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 20:15; 1Nya 12:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 11:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 24:30

1 Mambo ya Nyakati 11:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 11:3, 17; 12:9; 1 Fal. 15:5

Maandiko ingine

1 Nya. 11:1Hes 13:22; 2 Sa. 2:1; 5:5; 1Nya 12:23
1 Nya. 11:12 Sa. 5:1, 2
1 Nya. 11:21 Sa. 18:6, 13
1 Nya. 11:22 Sa. 6:21; 7:8, 9; Zab 78:70, 71
1 Nya. 11:31 Sa. 16:13; 2 Sa. 2:4; 5:3
1 Nya. 11:31 Sa. 15:27, 28
1 Nya. 11:4Yosh. 15:63; Amu 1:21; 19:10
1 Nya. 11:4Mwa 10:15, 16; 15:18, 21; Kut 3:17
1 Nya. 11:52 Sa. 5:6-10
1 Nya. 11:51 Fal. 8:1; Zab 2:6; 48:2
1 Nya. 11:51 Fal. 2:10
1 Nya. 11:62 Sa. 2:18
1 Nya. 11:92 Sa. 3:1
1 Nya. 11:101 Sa. 16:12, 13
1 Nya. 11:111Nya 27:1, 2
1 Nya. 11:112 Sa. 23:8
1 Nya. 11:11Yosh. 23:10
1 Nya. 11:122 Sa. 23:9, 10, 15-17
1 Nya. 11:121Nya 8:1, 4
1 Nya. 11:131 Sa. 17:1
1 Nya. 11:14Zab 18:50
1 Nya. 11:151 Sa. 22:1
1 Nya. 11:15Yosh. 15:8, 12; 2 Sa. 23:13-17
1 Nya. 11:171 Sa. 20:6
1 Nya. 11:19Mwa 9:4; Law. 17:10
1 Nya. 11:201 Sa. 26:6; 2 Sa. 2:18; 18:2
1 Nya. 11:202 Sa. 3:30
1 Nya. 11:202 Sa. 23:18, 19
1 Nya. 11:221 Fal. 4:4; 1Nya 27:1, 5
1 Nya. 11:22Yosh. 15:21
1 Nya. 11:22Amu 14:5, 6; 1 Sa. 17:36, 37; 2 Sa. 23:20-23
1 Nya. 11:231 Sa. 17:4
1 Nya. 11:231 Sa. 17:7
1 Nya. 11:231 Sa. 17:51
1 Nya. 11:251Nya 11:19
1 Nya. 11:262 Sa. 2:18, 23; 1Nya 27:1, 7
1 Nya. 11:262 Sa. 23:24-39
1 Nya. 11:281Nya 27:1, 9
1 Nya. 11:281Nya 27:1, 12
1 Nya. 11:292 Sa. 21:18; 1Nya 27:1, 11
1 Nya. 11:301Nya 27:1, 13
1 Nya. 11:301Nya 27:1, 15
1 Nya. 11:31Amu 20:15; 1Nya 12:1, 2
1 Nya. 11:32Yosh. 24:30
1 Nya. 11:412 Sa. 11:3, 17; 12:9; 1 Fal. 15:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 11:1-47

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

11 Kisha wakati fulani Waisraeli wote wakakusanyika kwa Daudi kule Hebroni+ na kusema: “Angalia! Sisi ni mufupa wako na nyama yako mwenyewe.*+ 2 Zamani wakati Sauli alikuwa mufalme, wewe ndiye ulikuwa unaongoza Israeli katika mapambano yao ya kijeshi.*+ Na Yehova Mungu wako alikuambia: ‘Utachunga watu wangu Israeli, na utakuwa kiongozi juu ya watu wangu Israeli.’”+ 3 Basi wazee wote wa Israeli wakakuja kwa mufalme kule Hebroni, na Daudi akafanya agano pamoja nao katika Hebroni mbele ya Yehova. Kisha wakamutia Daudi mafuta ili akuwe mufalme juu ya Israeli,+ kulingana na neno la Yehova kupitia Samweli.+

4 Kisha wakati fulani Daudi na Israeli wote wakaondoka na kuenda Yerusalemu, ni kusema, Yebusi,+ kwenye Wayebusi+ walikuwa wanaishi katika inchi hiyo. 5 Wakaaji wa Yebusi walimuchokoza Daudi: “Hautaingia humu hata kidogo!+ Hata hivyo, Daudi alikamata ngome ya Sayuni,+ yenye sasa ni Muji wa Daudi.+ 6 Kwa hiyo Daudi akasema: “Mutu yeyote mwenye atakuwa wa kwanza kupiga Wayebusi atakuwa kiongozi* na mukubwa.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda wa kwanza, na akakuwa mukubwa. 7 Kisha Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo. Ndiyo sababu waliiita Muji wa Daudi. 8 Akaanza kujenga muji huo kuzunguka pande zote, kuanzia kwenye Kilima* mupaka kwenye maeneo ya pembeni-pembeni, na Yoabu akajenga upya sehemu zenye kubakia za muji huo. 9 Basi Daudi akakuwa mukubwa zaidi na zaidi,+ na Yehova wa majeshi alikuwa pamoja naye.

10 Sasa hawa ndio vichwa vya wapiganaji-vita wenye nguvu wa Daudi, wenye walimuunga mukono kabisa katika ufalme wake, pamoja na Israeli wote, ili wamufanye kuwa mufalme kulingana na neno la Yehova juu ya Israeli.+ 11 Hii ndiyo oroza ya wapiganaji-vita wenye nguvu wa Daudi: Yashobeamu+ mwana wa Muhakmoni, kichwa cha wale watatu (3).+ Aliinua mukuki wake juu ya watu mia tatu (300) na kuwaua kwa wakati mumoja.+ 12 Mwenye kumufuata alikuwa Eleazari+ mwana wa Dodo mwana wa Ahohi.+ Alikuwa kati ya wale wapiganaji-vita watatu (3) wenye nguvu. 13 Alikuwa pamoja na Daudi kule Pas-damimu,+ kwenye Wafilisti walikuwa wamekusanyika pamoja kwa ajili ya vita. Sasa kulikuwa shamba lenye kujaa shayiri, na watu walikuwa wamekimbia kwa sababu ya Wafilisti. 14 Lakini alisimama katikati ya shamba hilo na kulilinda na aliendelea kupiga na kuua Wafilisti, na hivyo Yehova akaleta ushindi* mukubwa.+

15 Watatu (3) kati ya wale vichwa makumi tatu (30) walishuka kuenda kwenye mwamba, kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ wakati jeshi la Wafilisti lilikuwa limepiga kambi katika Bonde* la Refaimu.+ 16 Wakati huo Daudi alikuwa katika ile ngome, na kambi ya kijeshi ya Wafilisti ilikuwa katika Betlehemu. 17 Kisha Daudi akaonyesha tamaa yake kwa kusema: “Kama tu ningekunywa maji ya tangi lenye kuwa karibu na mulango mukubwa wa Betlehemu!”+ 18 Halafu wale watatu (3) wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti na wakashota maji katika tangi hilo lenye kuwa karibu na mulango mukubwa wa Betlehemu na wakayaletea Daudi; lakini Daudi akakataa kuyakunywa na akayamwanga mbele ya Yehova. 19 Akasema: “Ni jambo lenye haliwezi kuwaziwa kwa upande wangu kwa maoni ya Mungu wangu kufanya jambo hilo! Je, nikunywe damu ya wanaume hawa wenye walitia uzima wao* katika hatari?”+ Kwa maana walitia uzima wao* katika hatari kwa kuenda kuyaleta. Basi akakataa kuyakunywa. Hayo ndiyo mambo yenye wale wapiganaji-vita watatu (3) wenye nguvu walifanya.

20 Abishai+ ndugu ya Yoabu+ akakuwa kichwa cha wengine watatu (3); aliinua mukuki wake juu ya watu mia tatu (300) na kuwaua, na alikuwa na sifa kama wale watatu.+ 21 Kati ya wale wengine watatu (3), alikuwa na sifa kuliko wale wengine wawili kati yao, na alikuwa mukubwa juu yao; lakini hakufikia wale watatu wa kwanza.

22 Benaya+ mwana wa Yehoyada alikuwa mwanaume hodari* mwenye alifanya matendo mengi ya uhodari katika Kabzeeli.+ Alipiga na kuua wana wawili wa Arieli wa Moabu, na alishuka ndani ya shimo la maji siku ya teluji* na kumuua simba.+ 23 Alimupiga na kumuua pia mwanaume Mumisri mwenye alikuwa na ukubwa wa ajabu⁠—​mwenye urefu wa mikono tano (5).*+ Hata kama Mumisri huyo alikuwa na mukuki katika mukono wake kama muti wa wasukaji wa nguo,+ alienda kupambana naye akiwa na fimbo na akanyanganya Mumisri huyo mukuki kutoka katika mukono wake na akamuua kwa mukuki wake mwenyewe.+ 24 Benaya mwana wa Yehoyada alifanya mambo hayo, na alikuwa na sifa kama ya wale wapiganaji-vita watatu (3) wenye nguvu. 25 Ijapokuwa alikuwa na sifa hata kuliko wale makumi tatu (30), hakufikia wale watatu (3).+ Lakini Daudi alimuweka juu ya walinzi wake mwenyewe.

26 Wapiganaji-vita wenye nguvu wa majeshi walikuwa Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Betlehemu,+ 27 Shamoti Muharori, Helezi Mupeloni, 28 Ira+ mwana wa Ikeshi Mutekoa, Abiezeri+ Mwanatoti, 29 Sibekai + Muhusha, Ilai Mwahohi, 30 Maharai+ Munetofa, Heledi+ mwana wa Baana Munetofa, 31 Itai mwana wa Ribai wa Gibea ya Wabenyamini,+ Benaya Mupiratoni, 32 Hurai wa mabonde ya muto* ya Gaashi,+ Abieli Mwarbati, 33 Azmaveti Mubaharumu, Eliaba Mushaalboni, 34 wana wa Hashemu Mugizoni, Yonatani mwana wa Shagee Muharari, 35 Ahiamu mwana wa Sakari Muharari, Elifali mwana wa Uru, 36 Heferi Mumekerati, Ahiya Mupeloni, 37 Hezro Mukarmeli, Naarai mwana wa Ezbai, 38 Yoeli ndugu ya Natani, Mibhari mwana wa Hagri, 39 Seleki Mwamoni, Naharai Muberoti, mubeba-silaha wa Yoabu mwana wa Seruya; 40 Ira Mwitri, Garebu Mwitri, 41 Uria+ Muhiti, Zabadi mwana wa Alai, 42 Adina mwana wa Shiza Murubeni, kichwa cha Warubeni, na makumi tatu (30) pamoja naye; 43 Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mumitini, 44 Uziya Mwashtaroti, Shama na Yeieli, wana wa Hotamu Mwaroeri; 45 Yediaeli mwana wa Shimri, na Yoha ndugu yake Mutisi; 46 Elieli Mumahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, na Itma Mumoabu; 47 Elieli, Obedi, na Yaasieli Mumesoba.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine