Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Walawi wanabeba Sanduku mupaka Yerusalemu (1-29)

        • Mikali anamuzarau Daudi (29)

1 Mambo ya Nyakati 15:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:1, 2; 1Nya 16:1; Zab 132:1-5

1 Mambo ya Nyakati 15:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 4:15; Kum 10:8

1 Mambo ya Nyakati 15:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:12; 1Nya 13:5

1 Mambo ya Nyakati 15:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 3:2, 3
  • +1Nya 6:1

1 Mambo ya Nyakati 15:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 6:29, 30

1 Mambo ya Nyakati 15:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:6-8

1 Mambo ya Nyakati 15:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:18, 22

1 Mambo ya Nyakati 15:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:16, 18

1 Mambo ya Nyakati 15:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:17
  • +1 Sa. 22:20; 1 Fal. 2:27, 35

1 Mambo ya Nyakati 15:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:3
  • +2 Sa. 6:8
  • +Hes 4:15; Kum 31:9

1 Mambo ya Nyakati 15:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:14; Hes 4:6; 2Nya 5:9

1 Mambo ya Nyakati 15:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:2
  • +1Nya 16:5; 2Nya 5:12, 13

1 Mambo ya Nyakati 15:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 6:31, 33; 25:5
  • +1Nya 6:31, 39; 25:1, 2; Zab 83:utangulizi
  • +1Nya 6:31, 44

1 Mambo ya Nyakati 15:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:9

1 Mambo ya Nyakati 15:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 6:31-33
  • +1Nya 25:1
  • +1Nya 13:8

1 Mambo ya Nyakati 15:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 46:utangulizi

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1948, 1965

1 Mambo ya Nyakati 15:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:4, 5
  • +Zab 6:utangulizi

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1965

1 Mambo ya Nyakati 15:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:27

1 Mambo ya Nyakati 15:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:4, 6

1 Mambo ya Nyakati 15:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 13:14
  • +2 Sa. 6:4, 5, 12

1 Mambo ya Nyakati 15:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:13

1 Mambo ya Nyakati 15:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:14, 15

1 Mambo ya Nyakati 15:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 13:8
  • +1Nya 16:4, 6
  • +2 Sa. 6:5

1 Mambo ya Nyakati 15:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:1
  • +1 Sa. 18:27; 2 Sa. 3:13, 14
  • +2 Sa. 6:16

Maandiko ingine

1 Nya. 15:12 Sa. 7:1, 2; 1Nya 16:1; Zab 132:1-5
1 Nya. 15:2Hes 4:15; Kum 10:8
1 Nya. 15:32 Sa. 6:12; 1Nya 13:5
1 Nya. 15:4Hes 3:2, 3
1 Nya. 15:41Nya 6:1
1 Nya. 15:61Nya 6:29, 30
1 Nya. 15:71Nya 23:6-8
1 Nya. 15:8Kut 6:18, 22
1 Nya. 15:10Kut 6:16, 18
1 Nya. 15:112 Sa. 8:17
1 Nya. 15:111 Sa. 22:20; 1 Fal. 2:27, 35
1 Nya. 15:132 Sa. 6:3
1 Nya. 15:132 Sa. 6:8
1 Nya. 15:13Hes 4:15; Kum 31:9
1 Nya. 15:15Kut 25:14; Hes 4:6; 2Nya 5:9
1 Nya. 15:16Zab 33:2
1 Nya. 15:161Nya 16:5; 2Nya 5:12, 13
1 Nya. 15:171Nya 6:31, 33; 25:5
1 Nya. 15:171Nya 6:31, 39; 25:1, 2; Zab 83:utangulizi
1 Nya. 15:171Nya 6:31, 44
1 Nya. 15:181Nya 25:9
1 Nya. 15:191Nya 6:31-33
1 Nya. 15:191Nya 25:1
1 Nya. 15:191Nya 13:8
1 Nya. 15:20Zab 46:utangulizi
1 Nya. 15:211Nya 16:4, 5
1 Nya. 15:21Zab 6:utangulizi
1 Nya. 15:221Nya 15:27
1 Nya. 15:241Nya 16:4, 6
1 Nya. 15:251Nya 13:14
1 Nya. 15:252 Sa. 6:4, 5, 12
1 Nya. 15:262 Sa. 6:13
1 Nya. 15:272 Sa. 6:14, 15
1 Nya. 15:281Nya 13:8
1 Nya. 15:281Nya 16:4, 6
1 Nya. 15:282 Sa. 6:5
1 Nya. 15:291Nya 17:1
1 Nya. 15:291 Sa. 18:27; 2 Sa. 3:13, 14
1 Nya. 15:292 Sa. 6:16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 15:1-29

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

15 Na akaendelea kujijengea nyumba katika Muji wa Daudi, na akatayarisha mahali kwa ajili ya Sanduku la Mungu wa kweli na akalijengea hema.+ 2 Huo ndio wakati Daudi alisema: “Hakuna mutu yeyote mwenye anapaswa kubeba Sanduku la Mungu wa kweli isipokuwa Walawi, kwa maana Yehova amewachagua ili wabebe Sanduku la Yehova na kumutolea utumishi sikuzote.”+ 3 Kisha Daudi akakusanya Israeli wote Yerusalemu ili kupandisha Sanduku la Yehova mupaka mahali kwenye alikuwa amelitayarishia.+

4 Daudi akakusanya wazao wa Haruni+ na Walawi:+ 5 kutoka kwa Wakohati, Urieli mukubwa na watu mia moja makumi mbili (120) kati ya ndugu zake; 6 kutoka kwa Wamerari, Asaya+ mukubwa na watu mia mbili makumi mbili (220) kati ya ndugu zake; 7 kutoka kwa Wagershomu, Yoeli+ mukubwa na watu mia moja makumi tatu (130) kati ya ndugu zake; 8 kutoka kwa wazao wa Elisafani,+ Shemaya mukubwa na watu mia mbili (200) kati ya ndugu zake; 9 kutoka kwa wazao wa Hebroni, Elieli mukubwa na watu makumi munane (80) kati ya ndugu zake; 10 kutoka kwa wazao wa Uzieli,+ Aminadabu mukubwa na watu mia moja kumi na mbili (112) kati ya ndugu zake. 11 Tena, Daudi akawaita makuhani Sadoki+ na Abiatari+ na Walawi Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu, 12 na akawaambia: “Ninyi ndio vichwa vya jamaa za upande wa baba za Walawi. Mujitakase, ninyi na ndugu zenu, na mupandishe Sanduku la Yehova Mungu wa Israeli mupaka mahali kwenye nimelitayarishia. 13 Kwa kuwa mara ya kwanza hamukulibeba,+ kasirani ya Yehova Mungu wetu iliwaka juu yetu,+ kwa sababu hatukutafuta utaratibu wenye kufaa.”+ 14 Basi makuhani na Walawi wakajitakasa ili kupandisha Sanduku la Yehova Mungu wa Israeli.

15 Kisha Walawi wakabeba Sanduku la Mungu wa kweli kwenye mabega yao kwa kutumia miti ya kulibebea,+ kama vile Musa alikuwa ameamuru kwa neno la Yehova. 16 Kisha Daudi akaambia wakubwa wa Walawi waweke ndugu zao waimbaji ili waimbe kwa furaha, wakipiga vyombo vya muziki: vyombo vya kamba, vinubi,+ na matoazi.+

17 Basi Walawi wakaweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia na, kati ya ndugu zao Wamerari, Etani+ mwana wa Kushaya. 18 Pamoja nao kulikuwa ndugu zao wa kikundi cha pili,+ Zekaria, Beni, Yaazieli, Shemiramoti, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaya, Maaseya, Matitia, Elifelehu, na Mikneya na Obed-edomu na Yeieli walinzi wa milango mikubwa. 19 Waimbaji Hemani,+ Asafu,+ na Etani walipaswa kupiga matoazi ya shaba;+ 20 na Zekaria, Azieli, Shemiramoti, Yehieli, Uni, Eliabu, Maaseya, na Benaya walipiga vyombo vya kamba vyenye vilifanywa vipatane na sauti ya Alamoti;*+ 21 na Matitia,+ Elifelehu, Mikneya, Obed-edomu, Yeieli, na Azazia walipiga vinubi vyenye vilifanywa vipatane na sauti ya Sheminiti,*+ ili wakuwe viongozi. 22 Kenania+ mukubwa wa Walawi alisimamia kazi ya kubeba vitu, kwa maana alikuwa mwenye ujuzi, 23 na Berekia na Elkana walikuwa walinzi wa milango mikubwa kwa ajili ya Sanduku. 24 Makuhani Shebania, Yoshafati, Netaneli, Amasai, Zekaria, Benaya, na Eliezeri walipiga tarumbeta kwa sauti kubwa mbele ya Sanduku la Mungu wa kweli,+ na Obed-edomu na Yehia walitumika pia wakiwa walinzi wa milango mikubwa kwa ajili ya Sanduku.

25 Kisha Daudi na wazee wa Israeli na wakubwa wa maelfu walikuwa wanatembea ili kupandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ kwa kushangilia.+ 26 Wakati Mungu wa kweli alisaidia Walawi wenye walikuwa wanabeba sanduku la agano la Yehova, walitoa zabihu ngombe-dume saba (7) wadogo na kondoo-dume saba.+ 27 Daudi alikuwa amevaa koti yenye haina mikono ya kitambaa kizuri, kama vile Walawi wote wenye walikuwa wanabeba lile Sanduku, waimbaji, na Kenania mukubwa wa kazi ya kubeba vitu na waimbaji; Daudi alikuwa pia amevaa efodi ya kitani.+ 28 Waisraeli wote walikuwa wanapandisha sanduku la agano la Yehova kwa makelele ya furaha,+ kwa sauti ya baragumu, kwa tarumbeta,+ kwa matoazi, wakipiga vyombo vya kamba na vinubi kwa sauti kubwa.+

29 Lakini wakati sanduku la agano la Yehova lilifika kwenye Muji wa Daudi,+ Mikali,+ binti ya Sauli, aliangalia chini kupitia dirisha na akamuona Mufalme Daudi akiruka-ruka na kushangilia; na akaanza kumuzarau katika moyo wake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine