Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Daudi anapanga makuhani katika vikundi makumi mbili na ine (1-19)

      • Kazi zingine za Walawi (20-31)

1 Mambo ya Nyakati 24:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 10:1
  • +Kut 6:23; 28:1

1 Mambo ya Nyakati 24:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:61
  • +Hes 16:39, 40

1 Mambo ya Nyakati 24:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:17

1 Mambo ya Nyakati 24:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:33

1 Mambo ya Nyakati 24:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:35
  • +2 Sa. 8:17
  • +2 Sa. 19:11; 1 Fal. 1:5, 7

1 Mambo ya Nyakati 24:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 1:5

1 Mambo ya Nyakati 24:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:9; Lu 1:8, 23

1 Mambo ya Nyakati 24:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:18
  • +1Nya 23:16; 26:24

1 Mambo ya Nyakati 24:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:17

1 Mambo ya Nyakati 24:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:18

1 Mambo ya Nyakati 24:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 26:31

1 Mambo ya Nyakati 24:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 46:11

1 Mambo ya Nyakati 24:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:22

1 Mambo ya Nyakati 24:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:33

Maandiko ingine

1 Nya. 24:1Law. 10:1
1 Nya. 24:1Kut 6:23; 28:1
1 Nya. 24:2Hes 26:61
1 Nya. 24:2Hes 16:39, 40
1 Nya. 24:32 Sa. 8:17
1 Nya. 24:5Mez. 16:33
1 Nya. 24:61 Fal. 2:35
1 Nya. 24:62 Sa. 8:17
1 Nya. 24:62 Sa. 19:11; 1 Fal. 1:5, 7
1 Nya. 24:10Lu 1:5
1 Nya. 24:192 Fal. 11:9; Lu 1:8, 23
1 Nya. 24:20Kut 6:18
1 Nya. 24:201Nya 23:16; 26:24
1 Nya. 24:211Nya 23:17
1 Nya. 24:221Nya 23:18
1 Nya. 24:231Nya 26:31
1 Nya. 24:26Mwa 46:11
1 Nya. 24:281Nya 23:22
1 Nya. 24:31Mez. 16:33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 24:1-31

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

24 Sasa ni hivi vilikuwa vikundi vya wazao wa Haruni: Wana wa Haruni walikuwa Nadabu, Abihu,+ Eleazari, na Itamari.+ 2 Lakini, Nadabu na Abihu walikufa mbele ya baba yao,+ na hawakukuwa na wana wowote; lakini Eleazari+ na Itamari waliendelea kutumika wakiwa makuhani. 3 Daudi, pamoja na Sadoki+ kutoka kati ya wana wa Eleazari na Ahimeleki kutoka kati ya wana wa Itamari, waliwagawa katika vikundi kwa ajili ya cheo cha utumishi wao. 4 Kwa kuwa wana wa Eleazari walikuwa na vichwa wengi kuliko wana wa Itamari, waliwagawa hivi: Wana wa Eleazari walikuwa na vichwa kumi na sita (16) vya jamaa zao za upande wa baba, na wana wa Itamari walikuwa na vichwa munane (8) vya jamaa zao za upande wa baba.

5 Tena, waliwagawa kwa kura,+ kikundi kimoja pamoja na kingine, kwa maana kulikuwa wakubwa wa mahali patakatifu na wakubwa wa Mungu wa kweli kutoka kati ya wana wa Eleazari na pia wana wa Itamari. 6 Kisha Shemaya mwana wa Netaneli mwandishi wa Walawi akaandika majina yao mbele ya mufalme, wakubwa, Sadoki+ kuhani, Ahimeleki+ mwana wa Abiatari,+ na vichwa vya jamaa za upande wa baba za makuhani na za Walawi, jamaa moja ya upande wa baba ilichaguliwa kutoka kwa Eleazari na ingine ilichaguliwa kutoka kwa Itamari.

7 Kura ya kwanza ilimuangukia Yehoyaribu; ya pili Yedaya, 8 ya tatu (3) Harimu, ya ine (4) Seorimu, 9 ya tano (5) Malkiya, ya sita (6) Miyamini, 10 ya saba (7) Hakozi, ya munane (8) Abiya,+ 11 ya kenda (9) Yeshua, ya kumi (10) Shekania, 12 ya kumi na moja (11) Eliashibu, ya kumi na mbili (12) Yakimu, 13 ya kumi na tatu (13) Hupa, ya kumi na ine (14) Yeshebeabu, 14 ya kumi na tano (15) Bilga, ya kumi na sita (16) Imeri, 15 ya kumi na saba (17) Heziri, ya kumi na munane (18) Hapisesi, 16 ya kumi na kenda (19) Petahia, ya makumi mbili (20) Yehezkeli, 17 ya makumi mbili na moja (21) Yakini, ya makumi mbili na mbili (22) Gamuli, 18 ya makumi mbili na tatu (23) Delaya, ya makumi mbili na ine (24) Maazia.

19 Ni hivyo vilikuwa vyeo vyao kwa ajili ya utumishi wao+ wakati walikuwa wanaingia katika nyumba ya Yehova kulingana na utaratibu wenye uliwekwa na Haruni babu yao, kama vile Yehova Mungu wa Israeli alikuwa amemuamuru.

20 Na kati ya Walawi wenye walibakia: kati ya wana wa Amramu,+ kulikuwa Shubaeli;+ kati ya wana wa Shubaeli, Yehdeya; 21 kutoka kwa Rehabia:+ kati ya wana wa Rehabia, Ishia kichwa; 22 kati ya Waishari, Shelomoti;+ kati ya wana wa Shelomoti, Yahati; 23 na kati ya wana wa Hebroni, Yeria+ kichwa, wa pili Amaria, wa tatu (3) Yahazieli, wa ine (4) Yekameamu; 24 kati ya wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri. 25 Ndugu ya Mika alikuwa Ishia; kati ya wana wa Ishia, Zekaria.

26 Wana wa Merari+ walikuwa Mali na Mushi; wa wana wa Yaazia, Beno. 27 Wana wa Merari: wa Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibri; 28 kutoka kwa Mali, Eleazari, mwenye hakukuwa na wana wowote;+ 29 kutoka kwa Kishi: wana wa Kishi, Yerahmeeli; 30 na wana wa Mushi walikuwa Mali, Ederi, na Yerimoti.

Hao ndio walikuwa wana wa Lawi kulingana na jamaa zao za upande wa baba. 31 Na pia walipiga kura+ kama vile ndugu zao wana wa Haruni walifanya mbele ya Mufalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki, na vichwa vya jamaa za upande wa baba za makuhani na za Walawi. Kuhusiana na jamaa za upande wa baba, mwenye alikuwa kichwa alikuwa sawa kabisa na ndugu yake mudogo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine