Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Yosia, mufalme wa Yuda (1, 2)

      • Mabadiliko yenye Yosia alifanya (3-13)

      • Kitabu cha Sheria kinapatikana (14-21)

      • Hulda anatoa unabii wa musiba (22-28)

      • Yosia anasomea watu kitabu (29-33)

2 Mambo ya Nyakati 34:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 13:2; Sef 1:1; Mt 1:10
  • +2 Fal. 22:1, 2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 21

2 Mambo ya Nyakati 34:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 21

2 Mambo ya Nyakati 34:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “sanamu za kuyeyushwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 15:2
  • +2 Fal. 23:4, 14
  • +2Nya 33:17
  • +2Nya 33:21, 22

2 Mambo ya Nyakati 34:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “sanamu za kuyeyushwa.”

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:6

2 Mambo ya Nyakati 34:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 13:2; 2 Fal. 23:16

2 Mambo ya Nyakati 34:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:19; 2Nya 30:1

2 Mambo ya Nyakati 34:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:41
  • +2Nya 31:1

2 Mambo ya Nyakati 34:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:12
  • +2 Fal. 22:3-6

2 Mambo ya Nyakati 34:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:11, 18

2 Mambo ya Nyakati 34:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 12:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 34:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 12:15
  • +1Nya 23:6
  • +2Nya 20:19
  • +1Nya 25:1

2 Mambo ya Nyakati 34:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wabeba-mizigo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 8:14

2 Mambo ya Nyakati 34:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa mukono wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:4
  • +Kum 17:18; 31:24-26; Yosh. 1:8; 2 Fal. 22:8
  • +Law. 26:46

2 Mambo ya Nyakati 34:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:8
  • +Kum 17:18, 19

2 Mambo ya Nyakati 34:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:11-13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/4/2001, uku. 27

2 Mambo ya Nyakati 34:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:22; Yer 40:14

2 Mambo ya Nyakati 34:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:17, 18; 31:16, 24-26; Yosh. 1:8

2 Mambo ya Nyakati 34:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:20; Amu 4:4; Lu 2:36; Mdo 21:8, 9
  • +2 Fal. 22:14-20

2 Mambo ya Nyakati 34:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 35:17
  • +Law. 26:16; Kum 28:15; 30:17, 18; Da. 9:11

2 Mambo ya Nyakati 34:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:20
  • +2 Fal. 21:1, 3, 6; 2Nya 28:1, 3
  • +Kum 29:22, 23; Yer 7:20

2 Mambo ya Nyakati 34:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:19

2 Mambo ya Nyakati 34:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “teketeke.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:26; 33:11, 13

2 Mambo ya Nyakati 34:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Haya ni maneno ya kishairi yenye kumaanisha kifo.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 21:29; Isa 39:8

2 Mambo ya Nyakati 34:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:1

2 Mambo ya Nyakati 34:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:2; 2Nya 17:3, 9; Ne 8:3

2 Mambo ya Nyakati 34:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akafanya upya lile agano.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 10:3
  • +Kum 6:5
  • +Kum 31:24-26; 2 Fal. 22:8

2 Mambo ya Nyakati 34:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:1, 12; 33:1, 16

2 Mambo ya Nyakati 34:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sanamu zote.”

  • *

    Tnn., “Siku zake zote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 21

Maandiko ingine

2 Nya. 34:11 Fal. 13:2; Sef 1:1; Mt 1:10
2 Nya. 34:12 Fal. 22:1, 2
2 Nya. 34:32Nya 15:2
2 Nya. 34:32 Fal. 23:4, 14
2 Nya. 34:32Nya 33:17
2 Nya. 34:32Nya 33:21, 22
2 Nya. 34:42 Fal. 23:6
2 Nya. 34:51 Fal. 13:2; 2 Fal. 23:16
2 Nya. 34:62 Fal. 23:19; 2Nya 30:1
2 Nya. 34:72 Fal. 17:41
2 Nya. 34:72Nya 31:1
2 Nya. 34:82 Fal. 22:12
2 Nya. 34:82 Fal. 22:3-6
2 Nya. 34:92Nya 30:11, 18
2 Nya. 34:112 Fal. 12:11, 12
2 Nya. 34:122 Fal. 12:15
2 Nya. 34:121Nya 23:6
2 Nya. 34:122Nya 20:19
2 Nya. 34:121Nya 25:1
2 Nya. 34:132Nya 8:14
2 Nya. 34:142 Fal. 22:4
2 Nya. 34:14Kum 17:18; 31:24-26; Yosh. 1:8; 2 Fal. 22:8
2 Nya. 34:14Law. 26:46
2 Nya. 34:182 Fal. 22:8
2 Nya. 34:18Kum 17:18, 19
2 Nya. 34:192 Fal. 22:11-13
2 Nya. 34:202 Fal. 25:22; Yer 40:14
2 Nya. 34:21Kum 30:17, 18; 31:16, 24-26; Yosh. 1:8
2 Nya. 34:22Kut 15:20; Amu 4:4; Lu 2:36; Mdo 21:8, 9
2 Nya. 34:222 Fal. 22:14-20
2 Nya. 34:24Yer 35:17
2 Nya. 34:24Law. 26:16; Kum 28:15; 30:17, 18; Da. 9:11
2 Nya. 34:25Kum 28:20
2 Nya. 34:252 Fal. 21:1, 3, 6; 2Nya 28:1, 3
2 Nya. 34:25Kum 29:22, 23; Yer 7:20
2 Nya. 34:262Nya 34:19
2 Nya. 34:272Nya 32:26; 33:11, 13
2 Nya. 34:281 Fal. 21:29; Isa 39:8
2 Nya. 34:292 Fal. 23:1
2 Nya. 34:302 Fal. 23:2; 2Nya 17:3, 9; Ne 8:3
2 Nya. 34:31Ezr 10:3
2 Nya. 34:31Kum 6:5
2 Nya. 34:31Kum 31:24-26; 2 Fal. 22:8
2 Nya. 34:322Nya 30:1, 12; 33:1, 16
2 Nya. 34:332 Fal. 23:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 34:1-33

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

34 Yosia+ alikuwa na miaka munane (8) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tatu na moja (31) katika Yerusalemu.+ 2 Alifanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova na alitembea katika njia za Daudi babu yake, na hakugeuka kuenda upande wa kuume wala upande wa kushoto.

3 Katika mwaka wa munane (8) wa utawala wake, wakati alikuwa angali kijana mudogo, alianza kumutafuta Mungu wa Daudi babu yake;+ na katika mwaka wa kumi na mbili (12), akaanza kutakasa Yuda na Yerusalemu+ kwa kuondoa mahali pa juu+ na miti mitakatifu,*+ sanamu za kuchongwa, na sanamu za metali.* 4 Tena, wakabomoa mazabahu za Mabaali mbele yake, na akakata vinara vya uvumba vyenye vilikuwa juu yazo. Pia akavunja vipande-vipande miti mitakatifu,* sanamu za kuchongwa, na sanamu za metali* na kuzifanya kuwa mavumbi na akayanyunyiza* juu ya makaburi ya wale wenye walikuwa wanazitolea zabihu.+ 5 Na akateketeza kwa moto mifupa ya makuhani juu ya mazabahu zao.+ Basi akatakasa Yuda na Yerusalemu.

6 Na katika miji ya Manase, Efraimu,+ Simeoni, na mupaka Naftali, katika mabomoko yao ya pembeni-pembeni, 7 alibomoa mazabahu na kuponda miti mitakatifu* na sanamu za kuchongwa,+ na kuzifanya kuwa mavumbi; na akakata vinara vyote vya uvumba katika inchi yote ya Israeli,+ kisha akarudia Yerusalemu.

8 Katika mwaka wa kumi na munane (18) wa utawala wake, wakati alikuwa ametakasa inchi na hekalu,* alimutuma Shafani+ mwana wa Azalia, Maaseya mukubwa wa muji, na Yoa mwana wa Yoahazi karani ili kutengeneza nyumba ya Yehova Mungu wake.+ 9 Wakakuja kwa Hilkia kuhani mukubwa na kumupatia feza zenye zilikuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Mungu, zenye Walawi wenye walikuwa wanatumika wakiwa walinzi wa milango walikuwa wamekusanya kutoka kwa Manase, Efraimu, na Israeli wote wenye kubakia,+ na pia kutoka kwa Yuda, Benyamini, na wakaaji wa Yerusalemu. 10 Kisha wakazipatia wale wenye waliwekwa ili kusimamia kazi katika nyumba ya Yehova. Na wafanyakazi wenye walikuwa katika nyumba ya Yehova wakazitumia kurekebisha na kutengeneza nyumba hiyo. 11 Walizipatia mafundi na wajenzi ili wanunue majiwe yenye kuchongwa na mbao kwa ajili ya vibanio na kujenga kwa vipande vikubwa vya miti nyumba zenye wafalme wa Yuda walikuwa wameacha ziharibike.+

12 Na watu hao walifanya kazi hiyo kwa uaminifu.+ Juu yao kuliwekwa Walawi Yahati na Obadia wa Wamerari,+ na Zekaria na Meshulamu wa Wakohati,+ ili watumike wakiwa waangalizi. Na Walawi, wote wenye walikuwa wapiga-muziki wenye ufundi,+ 13 walisimamia wafanyakazi wa kawaida* na walikuwa waangalizi wa watu wote wenye walikuwa wanafanya kazi katika kila namna ya utumishi; na wamoja kati ya Walawi walikuwa waandishi, maofisa, na walinzi wa milango mikubwa.+

14 Wakati walikuwa wanatosha feza zenye zilikuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yehova,+ Hilkia kuhani alipata kitabu cha Sheria ya Yehova+ yenye ilipewa kupitia* Musa.+ 15 Kwa hiyo Hilkia akamuambia Shafani mwandishi: “Nimepata kitabu cha Sheria katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akamupatia Shafani kitabu hicho. 16 Kisha Shafani akamupelekea mufalme kitabu hicho na kumuambia: “Watumishi wako wanafanya kila jambo lenye walipewa kufanya. 17 Wamemwanga feza zenye zilipatikana katika nyumba ya Yehova, na wamezipatia wale wenye waliwekwa, na wale wenye kufanya kazi.” 18 Pia, Shafani mwandishi akamuambia mufalme: “Kuko kitabu chenye Hilkia kuhani amenipatia.”+ Kisha Shafani akaanza kukisoma mbele ya mufalme.+

19 Wakati tu mufalme alisikia maneno ya ile Sheria, akapasua nguo zake.+ 20 Kisha mufalme akamuagiza hivi Hilkia, Ahikamu+ mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwandishi, na Asaya mutumishi wa mufalme: 21 “Muende, mumuulize Yehova kwa ajili yangu na kwa ajili ya watu wenye wamebakia katika Israeli na katika Yuda kuhusiana na maneno ya kitabu chenye kimepatikana; kwa maana kasirani kali ya Yehova yenye itamwangwa juu yetu ni kubwa kwa sababu mababu zetu hawakutimiza neno la Yehova kwa kushika mambo yote yenye yameandikwa katika kitabu hiki.”+

22 Basi Hilkia, pamoja na wale wenye walitumwa na mufalme, wakaenda kwa Hulda nabii mwanamuke.+ Alikuwa bibi ya Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mutunzaji wa chumba cha nguo, na alikuwa anakaa katika Eneo la Pili la Yerusalemu; na wakasema naye kule.+ 23 Akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Mumuambie mutu mwenye aliwatuma ninyi kwangu: 24 “Yehova anasema hivi: ‘Nitaleta musiba juu ya mahali hapa na juu ya wakaaji wake,+ laana zote zenye zimeandikwa katika kitabu+ chenye walisoma mbele ya mufalme wa Yuda. 25 Kwa sababu wameniacha+ na wanachoma zabihu ili zitoe moshi kwa ajili ya miungu mingine ili kunikasirisha+ kwa kazi zote za mikono yao, kasirani yangu kali itamwangika mahali hapa na haitazimwa.’”+ 26 Lakini mufalme wa Yuda mwenye aliwatuma ninyi kumuuliza Yehova, munapaswa kumuambia hivi: “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Kuhusu maneno yenye umesikia,+ 27 kwa sababu moyo wako ulikuwa musikivu* na ulijinyenyekeza mbele ya Mungu wakati ulisikia maneno yake juu ya mahali hapa na wakaaji wake na ukajinyenyekeza mbele yangu na ukapasua nguo zako na kulia mbele yangu, mimi pia nimekusikia,+ ni vile Yehova anasema. 28 Ndiyo sababu nitakukusanya pamoja na mababu zako,* na utalalishwa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona musiba wote wenye nitaleta juu ya mahali hapa na wakaaji wake.’”’”+

Kisha wakamuletea mufalme jibu hilo. 29 Basi mufalme akatuma ujumbe na kuita wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.+ 30 Kisha mufalme akapanda kuenda kwenye nyumba ya Yehova pamoja na wanaume wote wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, makuhani, Walawi⁠—watu wote, wadogo na pia wakubwa. Akasoma katika masikio yao maneno yote ya kitabu cha agano chenye kilikuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+ 31 Mufalme akasimama mahali pake na akafanya agano*+ mbele ya Yehova, kwamba atamufuata Yehova na kushika amri zake, vikumbusho vyake, na masharti yake kwa moyo wake wote na kwa nafsi* yake yote+ kwa kutimiza maneno ya agano hilo yenye yalikuwa yameandikwa katika kitabu hicho.+ 32 Zaidi ya hayo, akafanya watu wote wenye walikuwa katika Yerusalemu na Benyamini wakubali agano hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakatenda kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+ 33 Kisha Yosia akaondoa vitu vyote vyenye kuchukiza* katika inchi zote zenye zilikuwa za Waisraeli,+ na akafanya watu wote katika Israeli wamutumikie Yehova Mungu wao. Wakati wote wa maisha yake* hawakugeuka na kuacha kumufuata Yehova Mungu wa mababu zao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine