Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Kifo cha Abiya (1)

      • Asa, mufalme wa Yuda (2-8)

      • Asa anashinda Waetiopia milioni moja (9-15)

2 Mambo ya Nyakati 14:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:9

2 Mambo ya Nyakati 14:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:5
  • +Kut 23:24
  • +1 Fal. 14:22, 23; 2 Fal. 18:1, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2009, uku. 12

2 Mambo ya Nyakati 14:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:1, 4

2 Mambo ya Nyakati 14:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:5
  • +2Nya 15:15; Mez. 16:7

2 Mambo ya Nyakati 14:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango miwili-miwili.”

  • *

    Pingo ni kipande cha muti ao cha chuma cha kufungia mulango kwa ndani.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:2, 5
  • +Zab 127:1

2 Mambo ya Nyakati 14:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Mara nyingi zilibebwa na wapiga-mishale.

  • *

    Tnn., “na walikanyanga upinde.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:1, 12; 13:3

2 Mambo ya Nyakati 14:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 16:8
  • +Yosh. 15:20, 44; 2Nya 11:5, 8

2 Mambo ya Nyakati 14:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tunakuegemea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:10; 1Nya 5:20; 2Nya 32:20
  • +Amu 7:7; 1 Sa. 14:6
  • +2Nya 13:12; 32:7, 8
  • +1 Sa. 17:45; Zab 20:5; Mez. 18:10
  • +Yosh. 7:9; Zab 9:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 8-9

2 Mambo ya Nyakati 14:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:7

2 Mambo ya Nyakati 14:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 20:1

Maandiko ingine

2 Nya. 14:12 Sa. 5:9
2 Nya. 14:3Kum 7:5
2 Nya. 14:3Kut 23:24
2 Nya. 14:31 Fal. 14:22, 23; 2 Fal. 18:1, 4
2 Nya. 14:52Nya 34:1, 4
2 Nya. 14:62Nya 11:5
2 Nya. 14:62Nya 15:15; Mez. 16:7
2 Nya. 14:72Nya 32:2, 5
2 Nya. 14:7Zab 127:1
2 Nya. 14:82Nya 11:1, 12; 13:3
2 Nya. 14:92Nya 16:8
2 Nya. 14:9Yosh. 15:20, 44; 2Nya 11:5, 8
2 Nya. 14:11Kut 14:10; 1Nya 5:20; 2Nya 32:20
2 Nya. 14:11Amu 7:7; 1 Sa. 14:6
2 Nya. 14:112Nya 13:12; 32:7, 8
2 Nya. 14:111 Sa. 17:45; Zab 20:5; Mez. 18:10
2 Nya. 14:11Yosh. 7:9; Zab 9:19
2 Nya. 14:12Kum 28:7
2 Nya. 14:13Mwa 20:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 14:1-15

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

14 Kisha Abiya akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake, na wakamuzika katika Muji wa Daudi;+ na Asa mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake. Katika siku zake inchi ilipata pumuziko kwa miaka kumi (10).

2 Asa alifanya mambo ya muzuri na yenye kuwa sawa mbele ya macho ya Yehova Mungu wake. 3 Aliondoa mazabahu za kigeni+ na mahali pa juu, akavunja-vunja nguzo takatifu,+ na kukata miti mitakatifu.*+ 4 Zaidi ya hayo, aliambia Yuda wamutafute Yehova Mungu wa mababu zao na washike Sheria na amri. 5 Kwa hiyo aliondoa katika miji yote ya Yuda mahali pa juu na vinara vya uvumba,+ na chini ya utawala wake, ufalme uliendelea kuwa bila usumbufu. 6 Alijenga miji yenye ngome katika Yuda,+ kwa kuwa inchi haikukuwa na usumbufu na hapakukuwa vita juu yake katika miaka hiyo, kwa maana Yehova alimupatia pumuziko.+ 7 Akaambia Yuda: “Tujenge miji hii na kuizungusha kuta na minara,+ milango mikubwa* na mapingo.* Kwa maana inchi ingali katika mikono yetu, kwa sababu tumemutafuta Yehova Mungu wetu. Tumetafuta, na ametupatia pumuziko kuzunguka pande zote.” Basi kazi yao ya ujenzi ilifanikiwa.+

8 Asa alikuwa na jeshi la watu elfu mia tatu (300 000) kutoka Yuda, wenye walikuwa na ngao za mukubwa na mikuki. Na kutoka Benyamini kulikuwa wapiganaji-vita elfu mia mbili makumi munane (280 000) wenye nguvu, wenye kubeba ngao za kidogo* na walikuwa na pinde.*+

9 Kisha wakati fulani Zera Mwetiopia akakuja kupigana nao akiwa na jeshi la watu milioni moja (1 000 000) na magari mia tatu (300).+ Wakati alifika Maresha,+ 10 Asa akatoka kuenda kupigana naye na wakajipanga kwa ajili ya vita katika Bonde la Sefata kule Maresha. 11 Kisha Asa akamuita Yehova Mungu wake+ na kusema: “Ee Yehova, haiko shida kwako ikuwe wale wenye unasaidia ni wengi ao hawana nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na watu hawa wengi.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu mwenye anaweza kufa akupite nguvu.”+

12 Kwa hiyo Yehova akashinda Waetiopia mbele ya Asa na mbele ya Yuda, na Waetiopia wakakimbia.+ 13 Asa na watu wenye walikuwa pamoja naye wakawafuatilia mupaka Gerari,+ na Waetiopia wakaendelea kuanguka mupaka hakuna hata mumoja wao mwenye alibakia muzima, kwa maana walipondwa na Yehova na jeshi lake. Kisha wakachukua vitu vingi sana. 14 Zaidi ya hayo, walipiga miji yote kuzunguka Gerari, kwa maana woga wa Yehova ulikuwa umekuja juu ya miji hiyo; na wakanyanganya vitu katika miji yote, kwa maana kulikuwa vitu vingi vya kunyanganya katika miji hiyo. 15 Walishambulia pia mahema ya wale wenye walikuwa na mifugo, na wakakamata hesabu kubwa ya makundi na ngamia, kisha wakarudia Yerusalemu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine