Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Mapatano ya Asa pamoja na Siria (1-6)

      • Hanani anamukemea Asa (7-10)

      • Kifo cha Asa (11-14)

2 Mambo ya Nyakati 16:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufanya imara; kujenga upya.”

  • *

    Ao “asiondoke ao kuingia katika eneo la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:25, 27
  • +Yosh. 18:21, 25
  • +1 Fal. 15:17-19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 10

2 Mambo ya Nyakati 16:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:51
  • +1 Fal. 20:1; 2 Fal. 12:18; 16:8

2 Mambo ya Nyakati 16:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “agano.”

  • *

    Ao “agano lako.”

2 Mambo ya Nyakati 16:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:29
  • +Amu 18:29
  • +1 Fal. 15:20-22

2 Mambo ya Nyakati 16:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufanya imara; kujenga upya.”

2 Mambo ya Nyakati 16:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufanya imara; kujenga upya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 18:21, 25
  • +1 Fal. 15:17
  • +Yosh. 18:21, 24; 1Nya 6:60, 64
  • +Yosh. 18:21, 26; Amu 20:1

2 Mambo ya Nyakati 16:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ulimuegemea.”

  • *

    Tnn., “haukumuegemea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:1; 2Nya 19:2; 20:34
  • +Yer 17:5

2 Mambo ya Nyakati 16:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 14:9, 11; Zab 37:39, 40

2 Mambo ya Nyakati 16:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utegemezo wake.”

  • *

    Ao “umejitoa kikamili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 4:10
  • +1 Pe. 3:12
  • +1 Fal. 15:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 42-43

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2002, uku. 14

2 Mambo ya Nyakati 16:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika nyumba ya mikatale.”

2 Mambo ya Nyakati 16:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 32

2 Mambo ya Nyakati 16:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 10

2 Mambo ya Nyakati 16:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:24

2 Mambo ya Nyakati 16:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana, haikukuwa kumuchoma Asa, lakini kuchoma manukato.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:7
  • +Mk 16:1; Lu 23:55, 56; Yoh 19:40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 20

Maandiko ingine

2 Nya. 16:11 Fal. 15:25, 27
2 Nya. 16:1Yosh. 18:21, 25
2 Nya. 16:11 Fal. 15:17-19
2 Nya. 16:21 Fal. 7:51
2 Nya. 16:21 Fal. 20:1; 2 Fal. 12:18; 16:8
2 Nya. 16:42 Fal. 15:29
2 Nya. 16:4Amu 18:29
2 Nya. 16:41 Fal. 15:20-22
2 Nya. 16:6Yosh. 18:21, 25
2 Nya. 16:61 Fal. 15:17
2 Nya. 16:6Yosh. 18:21, 24; 1Nya 6:60, 64
2 Nya. 16:6Yosh. 18:21, 26; Amu 20:1
2 Nya. 16:71 Fal. 16:1; 2Nya 19:2; 20:34
2 Nya. 16:7Yer 17:5
2 Nya. 16:82Nya 14:9, 11; Zab 37:39, 40
2 Nya. 16:9Zek 4:10
2 Nya. 16:91 Pe. 3:12
2 Nya. 16:91 Fal. 15:32
2 Nya. 16:111 Fal. 15:23
2 Nya. 16:131 Fal. 15:24
2 Nya. 16:142 Sa. 5:7
2 Nya. 16:14Mk 16:1; Lu 23:55, 56; Yoh 19:40
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 16:1-14

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

16 Katika mwaka wa makumi tatu na sita (36) wa utawala wa Asa, Mufalme Baasha+ wa Israeli alipanda ili kushambulia Yuda na akaanza kujenga* Rama+ ili kuzuia mutu yeyote asitoke inje ao kuingia ndani kwa* Mufalme Asa wa Yuda.+ 2 Halafu Asa akaleta feza na zahabu kutoka katika hazina za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mufalme na kuvituma kwa Mufalme Ben-hadadi wa Siria,+ mwenye alikuwa anaishi katika Damasko, na kusema: 3 “Kuko mapatano* kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako. Ninakutumia feza na zahabu. Kuja, vunja mapatano yako* pamoja na Mufalme Baasha wa Israeli, ili aondoke kwangu.”

4 Ben-hadadi akamusikiliza Mufalme Asa na akatuma wakubwa wa majeshi yake ili kushambulia miji ya Israeli, na wakapiga Iyoni,+ Dani,+ Abel-maimu, na madepo yote ya miji ya Naftali.+ 5 Wakati Baasha alisikia habari hiyo, mara moja akaacha kujenga* Rama na akaacha kazi yake juu ya Rama. 6 Kisha Mufalme Asa akakamata Yuda wote, na wakabeba majiwe na mbao za Rama+ zenye Baasha alikuwa anatumia ili kujenga,+ na akazitumia kujenga* Geba+ na Mispa.+

7 Wakati huo Hanani+ muonaji akakuja kwa Mufalme Asa wa Yuda na kumuambia: “Kwa sababu ulimutegemea* mufalme wa Siria na haukumutegemea* Yehova Mungu wako, jeshi la mufalme wa Siria limeponyoka kutoka katika mukono wako.+ 8 Je, Waetiopia na Walibya hawakukuwa jeshi kubwa sana lenye magari mengi na wapanda-farasi? Lakini kwa sababu ulitegemea Yehova, aliwatia katika mukono wako.+ 9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku katika dunia yote+ ili kuonyesha nguvu zake* kwa ajili ya wale wenye moyo wao ni kamili* kumuelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa kutakuwa vita juu yako.”+

10 Hata hivyo, Asa akamukasirikia muonaji huyo na kumutia katika gereza* kwa sababu alimukasirikia sana juu ya jambo hilo. Na wakati uleule Asa akaanza kutesa wengine kati ya watu. 11 Sasa historia ya Asa, kuanzia mwanzo mupaka mwisho, imeandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na wa Israeli.+

12 Katika mwaka wa makumi tatu na kenda (39) wa utawala wake, Asa akapata ugonjwa katika miguu yake mupaka akakuwa mugonjwa sana; na hata katika ugonjwa wake, alitafuta musaada, hapana kwa Yehova, lakini kwa waponyaji. 13 Kisha Asa akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake;+ alikufa katika mwaka wa makumi ine na moja (41) wa utawala wake. 14 Basi wakamuzika katika kaburi kubwa lenye alikuwa amejichimbia katika Muji wa Daudi,+ na wakamulalisha kwenye kitanda cha kubebea maiti chenye kilikuwa kimejazwa mafuta ya zeri na aina mbalimbali ya vikolezo vyenye kuchanganywa na mafuta ya pekee yenye marashi.+ Tena, waliwasha moto mukubwa wa mazishi kuliko kawaida kwa ajili yake.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine