Zaburi
Kwa kiongozi; iimbwe kwa vyombo vya kamba. Maskili.* Ya Daudi, wakati Wazifu waliingia na kumuambia Sauli: “Daudi anajificha kati yetu.”+
2 Ee Mungu, sikia sala yangu;+
Sikiliza maneno ya kinywa changu.
3 Kwa maana wageni wanasimama ili kunishambulia,
Hawamuheshimie Mungu.*+ (Sela)
6 Nitakutolea zabihu+ kwa kujipendea.
Nitasifu jina lako, Ee Yehova, kwa maana ni muzuri.+