Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 123
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Kumutegemea Yehova ili kupata rehema

        • ‘Kama vile watumishi, tunamuangalia Yehova’ (2)

        • ‘Tumezarauliwa kwa ukamili’ (3)

Zaburi 123:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:15; 121:1

Zaburi 123:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:82; 130:6
  • +Omb 3:25; Mik 7:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 15

Zaburi 123:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 4:4; Zab 44:13

Zaburi 123:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yetu imechokeshwa sababu ya kuchekelewa sana na.”

Maandiko ingine

Zb. 123:1Zab 25:15; 121:1
Zb. 123:2Zab 119:82; 130:6
Zb. 123:2Omb 3:25; Mik 7:7
Zb. 123:3Ne 4:4; Zab 44:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 123:1-4

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

123 Ninainua macho yangu kukuelekea wewe,+

Wewe mwenye kukaa ukiwa mufalme mbinguni.

 2 Kama vile macho ya watumishi yanaangalia mukono wa bwana wao,

Na macho ya mutumishi mwanamuke yanaangalia mukono wa bimukubwa wake,

Ni vile macho yetu yanamuangalia Yehova Mungu wetu+

Mupaka wakati atatuonyesha wema.+

 3 Utuonyeshe wema, Ee Yehova, utuonyeshe wema,

Kwa maana tumezarauliwa kwa ukamili.+

 4 Tumechekelewa kwa ukamili na* watu wenye kujitumainia

Na tumezarauliwa na watu wenye kiburi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine