Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 124
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • “Kama Yehova hangekuwa pamoja na sisi”

        • Ponyoka mutego wenye ulivunjika (7)

        • ‘Jina la Yehova ni musaada wetu’ (8)

Zaburi 124:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 46:7; Rom. 8:31; Ebr 13:6

Zaburi 124:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 54:4; 118:6
  • +Zab 3:1; 22:16

Zaburi 124:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 27:2
  • +Zab 56:1

Zaburi 124:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yangefunika nafsi yetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:4

Zaburi 124:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yangelemea nafsi yetu.”

Zaburi 124:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yetu iko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 23:26-28; 2 Sa. 17:21, 22
  • +Zab 25:15; 91:3

Zaburi 124:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 18:10

Maandiko ingine

Zb. 124:1Zab 46:7; Rom. 8:31; Ebr 13:6
Zb. 124:2Zab 54:4; 118:6
Zb. 124:2Zab 3:1; 22:16
Zb. 124:3Zab 27:2
Zb. 124:3Zab 56:1
Zb. 124:4Zab 18:4
Zb. 124:71 Sa. 23:26-28; 2 Sa. 17:21, 22
Zb. 124:7Zab 25:15; 91:3
Zb. 124:8Mez. 18:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 124:1-8

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Daudi.

124 “Kama Yehova hangekuwa pamoja na sisi”+

​—⁠Israeli aseme sasa⁠—

 2 “Kama Yehova hangekuwa pamoja na sisi+

Wakati watu walisimama ili kutushambulia,+

 3 Basi wangetumeza tukiwa wazima+

Wakati kasirani yao ilikuwa inawaka juu yetu.+

 4 Kisha maji yangetufagilia mbali,

Maji mengi yangetufunika.*+

 5 Maji yenye nguvu yangetulemea.*

 6 Yehova asifiwe,

Kwa maana hakututia katika meno yao kama mawindo.

 7 Tuko* kama ndege mwenye aliponyoka

Katika mutego wa muwindaji;+

Mutego ulivunjika,

Na sisi tukaponyoka.+

 8 Musaada wetu uko katika jina la Yehova,+

Mutengenezaji wa mbingu na dunia.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine